Mkuu hizo ndom za 65000 zikojeMkuu wewe mwambie demu wako anunue za bei anayomudu, mbona kuna condom za 65,000 kwa pakti moja na kuna za buku jero so the choice is yours usitake mtu afanye biashara ambayo haitampa faida.
Ndicho tunachokiweza hiki wabongo sasa ndoa yake inaingiaje hp kwetu pedi!Ni kweli kaka, angeweza kuja na ped za 500 au 1000 walau! Hii 3000 ni kubwa sana kwa mabinti zetu, hivi ndoa yake iliishia wapi? Maana nasikia kulikua na mtafaruku mkubwa sana
Umemaliza kila kituMkuu wewe mwambie demu wako anunue za bei anayomudu, mbona kuna condom za 65,000 kwa pakti moja na kuna za buku jero so the choice is yours usitake mtu afanye biashara ambayo haitampa faida.
Ila watu sijui mkoje, kwanini wewe usitengeneze za kwako ukauza 200 ?Ni kweli kaka, angeweza kuja na ped za 500 au 1000 walau! Hii 3000 ni kubwa sana kwa mabinti zetu, hivi ndoa yake iliishia wapi? Maana nasikia kulikua na mtafaruku mkubwa sana
Katika kitu sipendi ni hawa madada wanaojifanya wanaharakati ile hali kwao hapo ndipo sehemu ya kujitafutia mkate wa kila sikuWana harakati uchwara Bongo hawaishi.
Miaka ya Tisini dada zako walitumia pedi za sh ngapi?
Km hawakutumia pedi..walitumia khanga za bure na matambala mengine,ingependeza uwaelekeze maskini namna ya kutumia vitu mbadala km hawana 3000,
Kuliko kuleta uchwara wkt hauna msaada wowote kwa unaempigania.
Sio kweli.Kwa wanawake walio wengi watanzania
Nakazia zikoje?Mkuu hizo ndom za 65000 zikoje