Flaviana Matata wewe si msaada kwa wanawake

Flaviana Matata wewe si msaada kwa wanawake

Sijui.Lakini kwa 3,000 ni gharama kubwa kwa mwanamke masikini kuafford haijalishi katumia gharama kiasi gani.
Swali ni jepesi.....''Unafahamu gharama aliyozalisha bidhaa mpaka kuingia sokoni?'' Ulitaka iuzwe chini ya sh.2000,kana kwamba unuhakika Unit cost ni chini ya hapo.

Bidhaa ndio kwanza imeingia sokoni,hata mrejesho wa ubora kujustify bei ni kubwa ama ni stahiki huna. Sitetei wala kupinga hiyo bei,lakini walau tunapotoa lawama ama kudhihaki juhudi za watu tuwe na hoja zenye mshiko.
Naona la msingi serikali ingesamehe kodi walau kwenye material ya kutengeneza hizo taulo au kuweka ruzuku ili kusaidia wanawake wanunue pedi zilizo Bora,salama na bei rafiki.
 
Walau hapo umekuwa muungwana.
kwa 3,000 ni gharama kubwa kwa mwanamke masikini kuafford
.Basi badala ya kumkatisha tamaa tumshauri nini afanye hata wenye kipato cha chini sana,waweze kumudu
haijalishi katumia gharama kiasi gani.
Nina uhakika yeye si Serikali au NGO...hata wao wanazingatia gharama za uzalishaji

la msingi serikali ingesamehe kodi walau kwenye material ya kutengeneza hizo taulo au kuweka ruzuku ili kusaidia wanawake wanunue pedi zilizo Bora,salama na bei rafiki.
Hili ni moja ya pendekezo muhimu ambapo tangu mwanzo ungeliainisha..
 
Ndio hata bure kabisa
Dunia Sahv hakuna cha bure
Ubepari umetawala, kila mtu Anangalia pesa
Kwani wanaposema wanawasaidia wanawake na Watoto unafikiri ni msaada gani wanautoa
Zaidi ya kuwapa juice biskuti tu

Ova
 
Utakavyonichukulia wewe. Lakini hoja hapa ni Flavy anauza pedi 3,000 bei ambayo si rafiki kama anavyoitangaza.
Walau hapo umekuwa muungwana.

.Basi badala ya kumkatisha tamaa tumshauri nini afanye hata wenye kipato cha chini sana,waweze kumudu

Nina uhakika yeye si Serikali au NGO...hata wao wanazingatia gharama za uzalishaji


Hili ni moja ya pendekezo muhimu ambapo tangu mwanzo ungeliainisha..
 
Sijui.Lakini kwa 3,000 ni gharama kubwa kwa mwanamke masikini kuafford haijalishi katumia gharama kiasi gani.Naona la msingi serikali ingesamehe kodi walau kwenye material ya kutengeneza hizo taulo au kuweka ruzuku ili kusaidia wanawake wanunue pedi zilizo Bora,salama na bei rafiki.
Afadhali lawama umepeleka sehemu husika.

Serikali licha ya kushauriwa ifute kodi kwenye pedi lakini ilipinda shingo na kuziweka.
Serikali ndio inafanya bei iwe juu wala sio Flav Matata.
 
Jamani kwani lazima mtumie hizo,zamani mlitumia nini
 
Acha ujinga wewe. Pedi ni sh 3000. Itapendeza wewe mleta mada ndio ununue kontena zima utoe misaada. Hamna pedi za bei rahisi, pedi ya sh 500 hicho ni kipande cha kanga. kinachofanyika mashirika yananunua mzigo mwingi na kutoa misaada. Hata mimi nikipata hela nanunua mzigo hata wa 10 milion natoa msaada kwa mabinti wa vijijini.
 
Mtoa maada naona hajaeleweka..

Mdada amejinasibu kuwa mtetezi wa akina dada na haki za wanawake masikini, lakini cha kushangaza ameingiza bidhaa sokoni inayowahusu anaowatetea kwa bei zaidi ya wale tunaoona wanakandamiza akinamama..

Kifupi kama wewe ni mwanamama au mwanamke jitahidi kutetea haki zako mwenyewe, hawa wengine wapo kimaslahi kwenye hizi kazi kuliko kukutea na kukupigania..Wengi wako kuangalia fursa ndio huingia hapo..
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom