MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,137
- 3,942
Jana amezindua taulo za kike Hotel Hyatt Dar es salaam. Bei yake alitangaza ni shilingi 3, 000 ambayo binti masikini hawezi kugharamia.
Kama walivyo wanawake wengi maarufu wakijifanya kuwa mstari wa mbele kwenye kutetea jinsia ya kike. 3,000 ni kubwa sana maana mtaani kuna pedi (taulo za kike) ambazo wadogo zetu, wanetu, dada na ndugu wengine wananunua kwa 2,000 hata hii 2k bado ni kubwa kwao.
Atapewa tuzo "Sheroes" wakati hawana msaada kwa mtoto wa kike (girl child).
Feminism si kutweet kiharakati tu.
Hawa wanawake maarufu wanajifanya feminists wakati wao Misandrists tu ikichukia jinsia ya kiume.
Kama walivyo wanawake wengi maarufu wakijifanya kuwa mstari wa mbele kwenye kutetea jinsia ya kike. 3,000 ni kubwa sana maana mtaani kuna pedi (taulo za kike) ambazo wadogo zetu, wanetu, dada na ndugu wengine wananunua kwa 2,000 hata hii 2k bado ni kubwa kwao.
Atapewa tuzo "Sheroes" wakati hawana msaada kwa mtoto wa kike (girl child).
Feminism si kutweet kiharakati tu.
Hawa wanawake maarufu wanajifanya feminists wakati wao Misandrists tu ikichukia jinsia ya kiume.