The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
catfight ya mapaka pori i guess......Ndiyo jivimambo hivyo...hiyo inaitwa catfight!......
catfight ya mapaka pori i guess......Ndiyo jivimambo hivyo...hiyo inaitwa catfight!......
catfight ya mapaka pori i guess......
You two get a room
You two get a room
catfight ya mapaka pori i guess......
Are you jealousy???? Don't be...god want us to love one another!...
tel him,
tena mungu kasema tupeane tusinyimane...
msomee bible huyu.......
na tukishapendana..
si ndo hakuna kunyimana???
nimeona hiyo kwenye bible....
Bible ni kubwa umesoma kwenye scripture gani?...
hey swali la kizushi...Miriam odemba kabila gani?
miriam ni mtu wa musoma.
mkurya i guess....
why????
natafuta hiyo scripture,ntakutajia.
Love is in the air...
Haya endelea kutafuta hiyo scripture nasubiliwa....
Kumbe ni Mkurya?....i thought msukuma maana kila model msukuma/Mnyamwezi....i dunno why!...umeshagundua lakini?....
sijawahi chunguza...
mimi mnyamwezi but sijui why???
may be mvuto ndo zaidi??????
ha ha ha ha,how old are u??????Whaaat?...Kumbe na wewe msukuma?...Basi kwaheri maana nina bahati mbaya sana kila nayemgusa msukuma ooh love why me na wasukuma jamani eeh!....For the record wasukuma hawana mvuto basi jipe moyo.....Ni wamechoka mbaya
Na wewe tafuta wako!.....mbona una Gubu hivyo lakini eeh!,,,
ha ha ha ha,how old are u??????
Yaani kusema love is in the air ndio gubu? Binti Maringo una mambo wewe...
Haya ngoja nitafute wangu na mimi...
wasukuma wakoWhaaat?...Kumbe na wewe msukuma?...Basi kwaheri maana nina bahati mbaya sana kila nayemgusa msukuma ooh love why me na wasukuma jamani eeh!....For the record wasukuma hawana mvuto basi jipe moyo.....Ni wamechoka mbaya