inasaidia nini ku flash modem?
huoni unahaini biashara za watu?
NDUGU zangu nimandika post ndefu juu ya kuflash modem za airtel na tigo bure coz sifanyi biashara.
kwa wale mnaowasiliana na mimi kuwa mnaitaka software ya kuflash modem,basi jitahidini kunipatia mawasiliano ambayo unadhani yatakusaidia wewe kuipata hiyo software.asanteni
tuijenge tanzania yetu kizalendo
Post yenyewe ipo hapa << HUAWEI UNLOCKER>>
POA mkuu!!
kama hufanyi biashara mkuu si ungetuwekea hapa?NDUGU zangu nimandika post ndefu juu ya kuflash modem za airtel na tigo bure coz sifanyi biashara.
kwa wale mnaowasiliana na mimi kuwa mnaitaka software ya kuflash modem,basi jitahidini kunipatia mawasiliano ambayo unadhani yatakusaidia wewe kuipata hiyo software.asanteni
tuijenge tanzania yetu kizalendo
Post yenyewe ipo hapa << HUAWEI UNLOCKER>>
kama hufanyi biashara mkuu si ungetuwekea hapa?