Flagship Soundbars

Flagship Soundbars

Kiufupi walio sifia vizio wote ni wauzaji au hawajawahi kusikia sauti ya SONY, kiufupi vizio hana majabu yoyote ukibisha kunya ukalale vizio m elevate, hamna maajabu, frequency 40hz ndo inanzia, hapa nataka nikairudishe hata nibebe tv niwe nangalia porn grapy kuliko kusikia mziki wa kelele usio na maana
Sasa ukilinganisha midrange soundbar zote...hisense,skywood na nyinginezo hamna kama VIZIO
 
Kiufupi walio sifia vizio wote ni wauzaji au hawajawahi kusikia sauti ya SONY, kiufupi vizio hana majabu yoyote ukibisha kunya ukalale vizio m elevate, hamna maajabu, frequency 40hz ndo inanzia, hapa nataka nikairudishe hata nibebe tv niwe nangalia porn grapy kuliko kusikia mziki wa kelele usio na maana
Chief kwa soundbars hakuna kama Vizio, unataka Dundo beba AVR
 
Chief kwa soundbars hakuna kama Vizio, unataka Dundo beba AVR
Basi hapo nimekuelewa, ukitaka dundo tumia AVR ila soundbar mkito sahau, unalamba stereo na future's zake
 
Mi kwangu sjataka mambo mengi nlinunua active subwoofer ya AR-M10 ni 10 inch carpeted boom box, magnet 20 oz, voice coil kvs 1.5 ni 4 layers, frequency 40 to 200hz, 4omhs, sensitivity 90db/m.w. kisha nikanunua used receiver ya sony na twita 4 za mtumba nikafunga kaz ni hatari narudia tn ni hatari hzo sound bar zenu hzo za milion hazsogelei hapa.
Hili hapa
 

Attachments

  • IMG_20260208_171501_186.jpg
    IMG_20260208_171501_186.jpg
    679.3 KB · Views: 3
Wale wa AVR mmekumbukwa pale Makumbusho



Instagram
 
Back
Top Bottom