Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
hujatukwaza striker...mechi vipi?....samahani wengine kama nitakuwa nimewakwaza
tehe tehe!!
hujatukwaza striker...mechi vipi?....samahani wengine kama nitakuwa nimewakwaza
tehe tehe!!
Burudani burudani, furaha moyoni
Ijumaa nyumbani, na konyagi mezani
Sitoki hasilani, wifi yenu yu chumbani
Hata Fidel akibip, au Preta akipiga.
vina vimezingatiwa hapo.................!
.......and MasakiCurrently Active Users
175 (31 members & 144 guests)
Masaki, BadoNipo, Bob Nash, Bonge, drphone, Emanuel Makofia, fatiky, Felly, Fisherscom, Idimi, JS, Kimey, Lily Flower, Lumbe, mabuba, MduduWashawasha, Mkorintho, Mzee Mwanakijiji, Najikopa Mwenye, Ndibalema, omwana, PakaJimmy, Papizo, PR, rito, rolemodel, tall, Ulate, Who Cares?
Bottom of Form
kuna watu hamnitakii mema kabisa nyie Geoff ameongea weee hamjamsema ,Fidel80 ndo kabisa mpaka amekata na rufaa,Bht ndo kashikiria sredi yote hamjasema hahaha husb wangu katulia tuli
Gender Sensitive; mbona mchokozi wewe Mwanakijiji kakwambia ana mke?
Mie najua huyu ni babu anaangalia wajukuu zake na kutoa ushauri pale anapohitajika
sasa huyu mdingi(MMKJJ) vipi tena?ndo mwenye mali?Karibu ....
he he he...vipi ulikuwa uwanjani?...jana sikuja nilikuwa faragha...mechi iliishaje?
sasa huyu mdingi(MMKJJ) vipi tena?ndo mwenye mali?
he hee,hata ya chini?atuachie sisi bado tunadai dai yeye aendelee kupiga mapolitiki.Huyu analea wajukuu nyumbani meno yote kwisha habari yake ....!!
bht,Fidel,PJ,na wote mnaoniona wa ajabu mimi nimwanamke kama walivyo wanawake wengine..
Nina hisia za kike kama walivyo wanawake wote..
Sitegemie FL1 anijibu vibaya ..nimemsoma post zake zote sijaona ana argue na mtu ni mstaarabu sana katika wastaarabu sitegemei awe tofauti leo sijamtukana mie
nachomuomba anijibu tu maswali yangu ..sina nia mbaya naye kama jina lake linavyowakilisha jamii .....
Hapana unatia shaka kwani hujui kama maandishi yana sauti?????????????
sasa huyu mdingi(MMKJJ) vipi tena?ndo mwenye mali?
ndo manaake anaweza kunifikiria lakiniBabukijana ushamzimikia fl1 wakati yuko commited pole
wewe ni he or she?mbona unatuchanganya sasa,taja jinsia watu tuanze kupigana vikumbo kukutafutanarudia tena i love u FL1 or i like u sister sorry kama nitawakwaza maana wabongo duh ebwana eeh mnajua kupenda ni kunanihino tu hapana mjifunze
narudia tena i love u FL1 or i like u sister sorry kama nitawakwaza maana wabongo duh ebwana eeh mnajua kupenda ni kunanihino tu hapana mjifunze