bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
nimezungumza na wazee unaruhusiwa kumpenda kabisa kama dadako.. any monkey business tunakutimua kijijini.. Hayo ndiyo maagizo ya wazee.
hahaaaa Babuuuuuu duh!!!! haya bana.....
nimezungumza na wazee unaruhusiwa kumpenda kabisa kama dadako.. any monkey business tunakutimua kijijini.. Hayo ndiyo maagizo ya wazee.
nimezungumza na wazee unaruhusiwa kumpenda kabisa kama dadako.. any monkey business tunakutimua kijijini.. Hayo ndiyo maagizo ya wazee.
he hee,hata ya chini?atuachie sisi bado tunadai dai yeye aendelee kupiga mapolitiki.
Preassure is mine ew nashukuru kwa uelewa wako nafurahi kujua wewe ni mama kama mie natumaini tutaongea lugha moja sasanashukuru sana my dada FL1 umeonyesha ukomavu wa akili yako.huna papara ,huna jazba ,una hekima na busara pia,nitakupenda siku zote na kukuheshimu kama dada wewe u mstaarabu sana hasa ukizingatia jf kuna kila aina ya mambo,kama ukipenda keep in touch with me ,mimi ni mama kama wewe huna haja ya kuogopa all the best ktk maisha yako ya ndoa
Kama bado hajaelewa aje nimuombee.... samahani kama nimewakwaza!!
nimezungumza na wazee unaruhusiwa kumpenda kabisa kama dadako.. any monkey business tunakutimua kijijini.. Hayo ndiyo maagizo ya wazee.
do halafu kapiga mkwara asubuhi hapa si mchezo"no monkey bussiness alowed to you "he heeHahaha ni kweli maji na mafuta havichangamani babukijana tks
hata mimi nawashangaa!sijui niwape banAskofu,babukijana ,kipipili nyie hamna weekend?
Huyo ndo babu anatupa hadithi za Alfa lela Ulela ,haahhahahahado halafu kapiga mkwara asubuhi hapa si mchezo"no monkey bussiness alowed to you "he hee
hata mimi nawashangaa!sijui niwape ban
Na imani kaelewa huyu mama wa kimisri askofu kama bado maombi ya nguvu yanahitajika na kufunga pia
mi nilipumzika jana nilikua hoi week-end ilianza alhamis,leo baadae labda,nawewe umelala kwel kwel jana inaelekea ulikua anga tamuAskofu,babukijana ,kipipili nyie hamna weekend?
halafu mzee siku hizi umetulia kinoma naona operesheni 13feb imetoa majibuhata mimi nawashangaa!sijui niwape ban
Niko busy nasaka mihela miaka 15 baada ya beijing no weekend babukijanami nilipumzika jana nilikua hoi week-end ilianza alhamis,leo baadae labda,nawewe umelala kwel kwel jana inaelekea ulikua anga tamu
ha haaa ha,hope utafix,isije ikawa kibabu kimefanya urasimu na wazee wa kijiji wakapiga ufisadi maana mikwara yake duuh.Babukijana msg rcvd with much rgds will come back to u soon eeh nina matatizo ya kiufundi kule,tetetetetet
thats good one,much respect ukiwa namna hiyo mumyNiko busy nasaka mihela miaka 15 baada ya beijing no weekend babukijana
leo ni leoooooooooooooo
na kweli leo ni leo, Sore kama nitakukwaza!