Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,377
- 205,773
Hahah! Jamaa anasema hapendi maswali yake kuwekwa kapuniNimejikuta naangua kicheko na usiku wote huu mnene.Kumbe wengi mmeona hizi vurugu nikajua ni mm tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah! Jamaa anasema hapendi maswali yake kuwekwa kapuniNimejikuta naangua kicheko na usiku wote huu mnene.Kumbe wengi mmeona hizi vurugu nikajua ni mm tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana wakuuKinakuwa na riba ambayo unatozwa tu Kwa muda uliokaa na hela na kiasi ulichotumia let's say 30 day,utachajiwa riba ya mda huo ......tofauti na term loan ambayl riba ni fixed per year na marejesho unapangiwa kila mwez
Inategemea na masharti ya benki, mara nyingine ni ukizidisha ule muda ambao ilipaswa urudishe ndio huwa unaweka na cha juu.
Kuweka kila mwezi hip ni saving account- kuna bank wanafungua saving accounts ambazo unaweza kuweka tu kutoa mpaka muda mliowekeana. ILA
Fixed account unafanya one single deposit. Mfano unaweka 10m kwa mwaka mmoja kwa riba ambayo inaanzia 6-8% kwa mwaka. N a pia napenda kukumbusha faida unayopata unatakiwa ilipia kpdi ya 10% (ya faida)-withholding tax upon maturity/ kuiva kwa fixed deposit yako
The good, the bad and the ugly.
Utaratibu huo haupo kwenye fixed account, unachokitaka wewe kinawezekana WADU, tena kule unaweza kuwa unadeposit moja kwa moja kwa kukatwa toka kwenye mshahara. Nenda bank ya Posta utapewa ufafanuzi na kufunguliwa account.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo topic za form three hazinaga manufaa ?Hii mbona ni topic ya form three tu huko,
Mleta mada mwenyewe naona kaleta mada ambayo km hana uelewa nayo wa kutosha.Kaileta mada kiuwepesi sana huku akiwa hana maelezo ya kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ameshindwa kuelewa, current account.Kwamba current acc unaweza kutoa pesa zaidi ya uliyonayo, kivipi sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtoto wa Lowassa Org. hio ni hela ya kupombeka pale Gold Crest/East Africa Hotel.Nataka niweke milioni 2 fixed deposit. Faida sh ngapi
Milion 2 labda upate 60000Kwa benki zilizoimarika miezi mitatu 3% mwaka 6%to 11%.....Kwa benki zenye ukwasi mdogo sometimes hadi 15% per annum for 3 years eg.kuna mda access waliweka 13-15 kama sikumbuki vizuri
Kama huna matumizi ya maendeleo au uzalishaji Kwa hiyo hela ,weka.....kama unauzalishaji ingiza huko ,maaana unaweza pata 15-20% per annum above market rate ya fixed deposit accounts..
Kuanzia mil 100 ,bil 1 na zaidi hela ndio unaiona .
Kwa mil 2 sizani kama Kwa mwaka itazidi riba ya faida tsh . 200,000 ,says laki mbili.
Nenda benki huko, utapata majini mazuri na utaratibu mzima. Siyo Lazima ujiniwe hapa. Umepewa Elimu hapa, umejua yaliyoko benki, modus operandi, nenda benki Mkuu.
Katika benki za biashara kuna aina tatu za akaunti, kwa kiingereza zikifahamika kama ‘Savings account’, ‘Current accounts’ na ‘Fixed accounts’
Ukiachana na majina ambayo benki itaamua kuipa akaunti husika lakini huangukia katika aina hizo za akaunti. Namba moja ni akauti ya kuhifadhi pesa ambayo mara nyingi huwa na gharama za uendeshaji na hela yake hupungua kadiri inavyozidi kukaa benki
‘Current accounts’ hii ina sifa kuu ya mtu kuweza kutoa kiwango zaidi ya alichonacho katika benki husika. Mara nyingi huwa wanaziita akaunti za biashara na mwenye akaunti katika aina hii huwa na kitabu cha hawala/hundi
‘Fixed account’ hii ni aina ya akaunti ambayo inalipa mara baada ya muda wake mliokubaliana kuisha. Hii tu huweka pesa benki kwa muda fulani benki nyingi huanzia miezi mitatu, na mtu hatoruhusiwa kutoa hela kwenye akaunti yake hadi muda waliokubaliana kufika
Aina hii ya akaunti hutoa riba kwa aliyeweka hela na haina nyingi hazina makato ya uendeshaji. Aina hii ya akaunti ni moja kati ya uwekezaji mzuri kwa mtu asiyeweza kashkashi za biasahara au akiwa amepata hela ya ghafla na hajui afanyie nini
Ni sawa kuweka hela benki lakini ukiweka kwa ‘savings account’ ni sawa na kuweka mfukoni na muda wowote unaweza kuitoa, lakini ‘fixed account’ mtu hawezi kutoa hela hadi muda utimie
Ukiachilia mbali kuwa na gawio baada ya muda, akaunti hizi pia hutumika kama dhamana ya mikopo kwa taasisi mbalimbali
Signed
Oedipus
Wapi nimesema haina manufaa, mbona unaniwekea maneno ambayo sijaandika
Banks walishafikiria suala hilo mkuu.Unaonaje kama nikichukua mkopo WA benki mahali na kiasi kukitupa huko kama biashara? Kitaaluma inakuwaje hii.
Katika benki za biashara kuna aina tatu za akaunti, kwa kiingereza zikifahamika kama ‘Savings account’, ‘Current accounts’ na ‘Fixed accounts’
Ukiachana na majina ambayo benki itaamua kuipa akaunti husika lakini huangukia katika aina hizo za akaunti. Namba moja ni akauti ya kuhifadhi pesa ambayo mara nyingi huwa na gharama za uendeshaji na hela yake hupungua kadiri inavyozidi kukaa benki
‘Current accounts’ hii ina sifa kuu ya mtu kuweza kutoa kiwango zaidi ya alichonacho katika benki husika. Mara nyingi huwa wanaziita akaunti za biashara na mwenye akaunti katika aina hii huwa na kitabu cha hawala/hundi
‘Fixed account’ hii ni aina ya akaunti ambayo inalipa mara baada ya muda wake mliokubaliana kuisha. Hii tu huweka pesa benki kwa muda fulani benki nyingi huanzia miezi mitatu, na mtu hatoruhusiwa kutoa hela kwenye akaunti yake hadi muda waliokubaliana kufika
Aina hii ya akaunti hutoa riba kwa aliyeweka hela na haina nyingi hazina makato ya uendeshaji. Aina hii ya akaunti ni moja kati ya uwekezaji mzuri kwa mtu asiyeweza kashkashi za biasahara au akiwa amepata hela ya ghafla na hajui afanyie nini
Ni sawa kuweka hela benki lakini ukiweka kwa ‘savings account’ ni sawa na kuweka mfukoni na muda wowote unaweza kuitoa, lakini ‘fixed account’ mtu hawezi kutoa hela hadi muda utimie
Ukiachilia mbali kuwa na gawio baada ya muda, akaunti hizi pia hutumika kama dhamana ya mikopo kwa taasisi mbalimbali
Signed
Oedipus
Hapa ameshindwa kuelewa, current account.
Kutoa hela kuliko kiwango ulichonacho siyo current account hii inaitwa overdraft. Ni aina ya mkopo, na kwamba hautolewi kwa kila mtu, mpaka uwe mfanyabiashara ambae umedevelop trust na benki husika. Hawatoi kwa kila mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ikitoa riba kwa mwezi bado wewe hautaweza kutoa hela hadi muda utimiekwa hiyo mzee nikiwa na kama kibillion hivi siwezi kukosa faida ya mil 100 kwa mwaka eeh?
na je kuna option ya kuweza kuwa nalipwa hiyo faida on monthly basis?
Hata kama ikitoa riba kwa mwezi bado wewe hautaweza kutoa hela hadi muda utimie
Hii ni kwa CRDBKwamba current acc unaweza kutoa pesa zaidi ya uliyonayo, kivipi sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani na mimi wapi nimesema kuwa wewe umesema topic za form three hazina manufaa ?Wapi nimesema haina manufaa, mbona unaniwekea maneno ambayo sijaandika