kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,528
- 1,949
Asilimia 6 ya pesa yakoNataka niweke milioni 2 fixed deposit. Faida sh ngapi
Asilimia 6 ya pesa yakoNataka niweke milioni 2 fixed deposit. Faida sh ngapi
iyo Sio fixed sasa fixed ni mara moja na inakua annualHiyo fixed account mimi naitaka.
Nataka kufungua niweke kiasi cha pesa kila mwezi baada ya miezi 12 ndo nataka kuitoa.
Je hakuna pesa ambayo nitakatwa kama malipo ya kuwalipa kunitunzia pesa ?
Je ikitokea kuna tatizo nikahitaji kutoa pesa kwa muda usiokuwa nimeandika inakuwaje ?
Na je inawezekana nikawaambia benki husika wanikate kwenye mshahara moja kwa moja pale unapoingia uende kwenye fixed account ?
Nijibu hayo niendelee maana ninaitaka hyo fixed account.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama milion nne iviWadau, kwa bank ya crdb kwa kiwango cha milioni 100 kwa mwaka m'moja ukiweka fixed account riba inakuwa kiasi gani?
Kiasi ulicho utilise/tumia kinakatwa riba kila mwezi mpaka utakapo reqularies account. Hii ni nzuri kwa suppliers/ contractors ambao hawana daily au monthly sales.Vipi wakati wa kurejesha kile kiasi ulichozidisha kukitoa kunakuwa na Riba?
Shukrani mkuuMara nyingi hii ni kwa ajili ya wafanyabishara wakubwa mfano Mo au Bakhressa pia kampuni na co kwa customers wa kawaida
Ahsante sana chief hapa sasa umenijibu vyemaKiasi ulicho utilise/tumia kinakatwa riba kila mwezi mpaka utakapo reqularies account. Hii ni nzuri kwa suppliers/ contractors ambao hawana daily au monthly sales.
The good, the bad and the ugly.
Utaratibu huo haupo kwenye fixed account, unachokitaka wewe kinawezekana WADU, tena kule unaweza kuwa unadeposit moja kwa moja kwa kukatwa toka kwenye mshahara. Nenda bank ya Posta utapewa ufafanuzi na kufunguliwa account.Hiyo fixed account mimi naitaka.
Nataka kufungua niweke kiasi cha pesa kila mwezi baada ya miezi 12 ndo nataka kuitoa.
Je hakuna pesa ambayo nitakatwa kama malipo ya kuwalipa kunitunzia pesa ?
Je ikitokea kuna tatizo nikahitaji kutoa pesa kwa muda usiokuwa nimeandika inakuwaje ?
Na je inawezekana nikawaambia benki husika wanikate kwenye mshahara moja kwa moja pale unapoingia uende kwenye fixed account ?
Nijibu hayo niendelee maana ninaitaka hyo fixed account.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu Kama hichoMtindo wa maafisa fedha wa vyuo vya elimu ya juu miaka ya nyuma...sijui kama bado wanafanya hivyo
Kwa benki zilizoimarika miezi mitatu 3% mwaka 6%to 11%.....Kwa benki zenye ukwasi mdogo sometimes hadi 15% per annum for 3 years eg.kuna mda access waliweka 13-15 kama sikumbuki vizuriNataka niweke milioni 2 fixed deposit. Faida sh ngapi
Kinakuwa na riba ambayo unatozwa tu Kwa muda uliokaa na hela na kiasi ulichotumia let's say 30 day,utachajiwa riba ya mda huo ......tofauti na term loan ambayl riba ni fixed per year na marejesho unapangiwa kila mwezVipi wakati wa kurejesha kile kiasi ulichozidisha kukitoa kunakuwa na Riba?
Hii mbona ni topic ya form three tu huko,Mkuu hii topic iko vizuri , hizi ndio topic zenye manufaa
naona umetoka kusoma kitabu chako cha bool keeping cha form 2 eeehKatika benki za biashara kuna aina tatu za akaunti, kwa kiingereza zikifahamika kama ‘Savings account’, ‘Current accounts’ na ‘Fixed accounts’
Ukiachana na majina ambayo benki itaamua kuipa akaunti husika lakini huangukia katika aina hizo za akaunti. Namba moja ni akauti ya kuhifadhi pesa ambayo mara nyingi huwa na gharama za uendeshaji na hela yake hupungua kadiri inavyozidi kukaa benki
‘Current accounts’ hii ina sifa kuu ya mtu kuweza kutoa kiwango zaidi ya alichonacho katika benki husika. Mara nyingi huwa wanaziita akaunti za biashara na mwenye akaunti katika aina hii huwa na kitabu cha hawala/hundi
‘Fixed account’ hii ni aina ya akaunti ambayo inalipa mara baada ya muda wake mliokubaliana kuisha. Hii tu huweka pesa benki kwa muda fulani benki nyingi huanzia miezi mitatu, na mtu hatoruhusiwa kutoa hela kwenye akaunti yake hadi muda waliokubaliana kufika
Aina hii ya akaunti hutoa riba kwa aliyeweka hela na haina nyingi hazina makato ya uendeshaji. Aina hii ya akaunti ni moja kati ya uwekezaji mzuri kwa mtu asiyeweza kashkashi za biasahara au akiwa amepata hela ya ghafla na hajui afanyie nini
Ni sawa kuweka hela benki lakini ukiweka kwa ‘savings account’ ni sawa na kuweka mfukoni na muda wowote unaweza kuitoa, lakini ‘fixed account’ mtu hawezi kutoa hela hadi muda utimie
Ukiachilia mbali kuwa na gawio baada ya muda, akaunti hizi pia hutumika kama dhamana ya mikopo kwa taasisi mbalimbali
Signed
Oedipus
Kanywe ugoro uzuie corona kwanza kisha uje humuChief embu naomba unijibu swali langu post #30 maana nimemuuliza mwamba naona yupo busy tu na manzi
Nimejikuta naangua kicheko na usiku wote huu mnene.Kumbe wengi mmeona hizi vurugu nikajua ni mm tu.Mkuu vipi mbona imekuwa fujo sasa?
Mleta mada mwenyewe naona kaleta mada ambayo km hana uelewa nayo wa kutosha.Kaileta mada kiuwepesi sana huku akiwa hana maelezo ya kutosha.Mi sipendi mtu unamuuliza maswali alafu hajibu.
Sasa hivi asipojibu nitajua kuwa dharau ama hajui,mana nimetuma mpaka wasomaji mvimbiwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew unayo hiyo akaunti au unasoma kwenye vitabu vya mwaka 47Inakuwa kama umekopa benki bila makubaliano, unairudisha baada ya muda fulani, hiyo ni kwa current accounts tu
Mara nyingi hua ni asilimia tatu baada ya miezi mitatu, hapo itakua elfu 60Nataka niweke milioni 2 fixed deposit. Faida sh ngapi
Hiyo fixed account mimi naitaka.
Nataka kufungua niweke kiasi cha pesa kila mwezi baada ya miezi 12 ndo nataka kuitoa.
Je hakuna pesa ambayo nitakatwa kama malipo ya kuwalipa kunitunzia pesa ?
Je ikitokea kuna tatizo nikahitaji kutoa pesa kwa muda usiokuwa nimeandika inakuwaje ?
Na je inawezekana nikawaambia benki husika wanikate kwenye mshahara moja kwa moja pale unapoingia uende kwenye fixed account ?
Nijibu hayo niendelee maana ninaitaka hyo fixed account.
Sent using Jamii Forums mobile app
Elfu Moja miatanoNajua kiasi cha kuvuna ni makubaliano baina ya benki na customer, je kwa uzoefu wako tu ukiweka fixed Tshs 500k ni kiasi gn unaweza kuvuna kwa muda wa miezi mi3?
Ndugu, kwenye masuala yote kodi zinakatwa, iwe ni hisa, dhamana za serikali, fixed account nk, wanakata 10% ya added value.Riba inayotolewa na mabank kwenye mikopo ni kubwa sana kuliko wanaotoa wao kwenye fixed deposits na mwisho wa siku faida unayopata inakatwa kodi....hio ni hasara kwako.
The good, the bad and the ugly.
Inategemea na masharti ya benki, mara nyingine ni ukizidisha ule muda ambao ilipaswa urudishe ndio huwa unaweka na cha juu.Vipi wakati wa kurejesha kile kiasi ulichozidisha kukitoa kunakuwa na Riba?
Poa umesomeka