Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

SAWEBOY

JF-Expert Member
Apr 6, 2011
241
173
Wakuu wana JF,

Kuna tetesi kuwa ukifungua fixed account ya 10Million ktk benk za Exim, CRDB, Posta bank, NBC limited au NMB, kwa kila baada ya miezi mitatu - inazaa faidi kati ya sh. 1.8 mill up to 2.1 mil.

Hii ina maana kuwa kwa muda wa mwaka 1, yaani 12 months unakuwa umepata faida ya sh.7.2 million up to 8.4 milion

Je, hizo habari zina ukweli wowote? Kwa anayefahamu plse naomba tufahamishe na sisi ili tuweze invest soon ktk hiyo fixed account.

NB: Nimeuliza hilo coz nipo mbali kidogo, huku madongo kuinama ningekuwa jirani ningefanya follow up nije na data kamili
Asanteni,

Nawasilisha

=================
 
I know bank huwa interest rate hazitofautiani sana not sure if its BOT regulating it or not.

Ila EXIM interest rate ya fixed & deposit A/C rate ni 6% kwa miezi mitatu so sijui hizo bank nyingine ulizotaja.

SO 10 million +6% = tshs 600,000 kwa miezi mitatu.

Hizo no data za ukweli toka Exim hata mimi ninayo hiyo account
 


Asante mkuu kwa hiyo taarifa yenye uhakika kutoka huko EXIM Bank, hopeful wadau wengine watatuhabirisha juu ya benk nyinginezo kuhusu hilo jambo.

Big up sana mkuu.
 
JAMANI WANA JF KWANZA KABISA NAOMBA MCHUKUE TAHADHARI, MARA NYINGI BANKERS HAWAKO WAZI KABISA,, YAWEZEKANA KUTOELEWA KWETU NDIO FAIDA KWAO., WANATOA/TANGAZA TAARIFA NUSUNUSU

Wakisema 6% riba ni kwa mwaka sio hiyo miezi 3 anayotaja that means 6% gawa miezi 12 zidisha miezi 3= 1.5 %
hivyo basi kwa 10,000,000 x 1.5 % = shs 150,000 tu riba utakayolipwa

Mwisho wa kipindi hicho cha miezi 3 utakuta kwenye account 10 mln + 150,000=10,150,000= tu

Utakuwa umeliwa bora hata biashara ya mkaa., sidhani hiyo riba itakusaidia kulinganisha na mtaji huo. badala yake wao watamkopesha mtu hizo pesa zako na ku-charge 18% gawa 12 x 3 =4.5% x 10 miln = shs 450,000= km ni fixed loan.,,

Kwa maelezo zaidi waweza uliza.
 
Hakuna bank inayotoa interest ya zaidi ya asilimia mbili kwenye annual fixed deposits, hizo za miezi mitatu
inategemea na treasury bills rate ziko vipi then wana qoute low.

Kwa kifupi, usitegemee faida doing business with any bank in tanzania

Nakushukuru kwa kutoa neno lenye ukweli na lisilojulikana. Tz banks are the enemies of trade developments tunakwenda kwasababu tu hatuna namna ya kufanya, hata Olosugun Obasanjo aliwahi kusema kwamba in tz at a loan interest rate of 19% hata mfanyabiashara wa madawa ya kulevya hapati faida kubwa kama hii, bank zinatukandamiza sana
 
Ukiwekeza kwangu kila mwezi nitakupatia TShs laki 6 monthly. so kwa miezi mitatu ni million 1 na laki nane, kwa mwaka ni million 7 na laki mbili, but tunaingia mkataba wa miezi mitatu mitatu renewable.

If you ARE interested ni PM for More clarifications
 

Na mbaya zaidi hata BoT wamenyamaza tu wakiangalia wa-TZ wanavyosurubiwa na hayo mabenki! Sijui wako kwa faida ya nani?
 

Mkuu,
Hesabu zangu zinaonyesha kwamba for 10M @6% annual rate, for 3months period utapata 150,000 na siyo 600,000/- kama ulivyoonyesha hapo juu.
I stand to be corrected

Thanks
 
Hakuna hicho kitu. Mbona wengi tungeacha kuhangaika tungewekeza katika fixed deposits tu! Hizo asilimia zinazotajwa ni kwa mwaka.​
 
This thread is very interesting - Tz Banks do charge transaction fees for ATM withdrawals/transactions. What ashame!

Withdrawals were supposed to be free because I draw my own money which bankers lend at interest when they are idle.


I suggest consumer pressure groups to start acting on this- it is not fair charges in the face of global competitions. Where is BOT?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…