Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
Ajali iliyotokea jana maeneo ya mikumi mkoani morogoro wakitokea kyela katika maonesho yao imesababisha vifo vya wasanii wa kundi mahiri la 5 stars wapatao kumi na tatu akiwamo Issa kijoti aliyeimba wimbo maarufu kama ''kanunua simu kampa demu walipoachana kampokonya''huku wengine kumi na tatu wakiwa majeruhi akiwamo bi Mwanahawa Ally wanaendea vizuri. POLENI WAPENZI WOTE
WA TAARABU.MUNGU AWALAZE MAHALI PEMA PEPONI .AMINA
WA TAARABU.MUNGU AWALAZE MAHALI PEMA PEPONI .AMINA