Huyo mtetea wakienteji au kisasa.
Huyo mtetea wakienteji au kisasa.
Nimeshawishika kutumia dawa hii.
Jamani nauliza vipi unatumia hii dawa kwa siku ngapi?
Dawa ipi? Kama hiyo ya kumpika kuku kwa kutumia maziwa muelekezaji amesema ni siku tatu(rejea kurasa ya pili),hebu ijaribu uje utupe maendeleo yako..
Ndugu hebu tupe maendeleo kama ulijaribu hii supu ya maziwa na kuku wa kienyeji,unaendeleaje?
Fanya hima! waathirika tuko wengi kuliko unavyofikiri!na mistress ya maisha donda ndumbo halikwepeki!wa kuu kuna Mama mmoja yuko mara ana dawa ya vidonda vya tumbo na mtu anapona kabisa kuna watu wangu kama watatu wametumia na wamepona so kwa anae hitaji nitawapatieni namba zake
nasikia TFDA na mkemia mkuu wamekana kuithibitisha au kuitambua dawa hii!
Jamani kwa wale mnaojua au
mliowahi kutumia dawa ya huyu binti Dr Rahabu ambayo inasemekana kutibu
vidonda vya tumbo.jamani ni kweli hii dawa inatibu?
Binafsi nilikua kwenye stage mbaya zaidi ya vidonda vya tumbo,
ila baada ya kutumia hii dawa nilipona kabisa,
nadhani kikubwa ni kufuata ushauri wa lishe.na kuwa na imani basi..
nipm nikupe dawa ya ulcers kama unasumbuliwa utasahau mateso yako