Fiston Mayele, Sadio Ntibanzokinza washinda kiatu cha dhahabu

demigod

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
8,250
15,116
Kanuni ya Ligi kuhusu wafungaji bora kupata tuzo inasema kama wachezaji wakifungana kwa idadi sawa ya mabao basi wote wanapata fursa ya kuzawadiwa kiatu cha dhahabu.

Ikumbukwe kuwa vipengele na kanuni hii havijabadilishwa tangu msimu wa 2016/17 ambapo Saimon Msuva na Abdulahmn Musa wote walipata kiatu.

Alamsiki.
 
Utopolo wenzio wanasema eti wanatoa magoli ya penati. Kama ni kweli basi TFF itakuwa wanaweza Kwa kutumia matumbo kwani penati sio goli?
UTO FC tuko na furaha za Medali.

Ninapenda kuomba radhi kwa niaba yake!
 
Mbona nimemsikia kidao akisema sharia zilibadirishwa? Au alikua anazungumzia sheria gan
Walibadilisha lini?
20230609_190411.jpg
 
FB_IMG_16863232572388356.jpg
haiwezekani mabwana wawili kuoa mke mmoja kwa wakati mmoja
 
UTARATIBU WA FIFA UPO KAMA IFUATAVYO.

1.Wanaangali mchezaji aliyefunga MAGOLi mengi zaidi kwenye mashindano.

2.kama wachezaji wamefungana wame( tie) MAGOLi aliyecheza MICHEZO MICHACHE ndio anapewa ufungaji Bora.

3.kama wote WAMECHEZA michezo sawa wanaangalia Mchezaji MWENYE Asisist nyingi.

KAMA TUNGEKUWA TUNAFUATA SHERIA ZA FIFA SAIDO ANGEKUWA MFUNGAJI BORA NBC 2022-2023.

JF
 
Back
Top Bottom