Fisi kafikaje kwenye kikao

Fisi kafikaje kwenye kikao

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Sijaelewa
10710914_779358792117714_5639505184926148515_n.jpg
 
Hii ni Tanzania mkuu?

Ina maana ni halali kumiliki wanyama pori?
 
Amealikwa na Pinda, huu ni usafiri wake wa kuwindia albino usiku katika harakati zake za kuwania urais.
 
Nliona neno fish badala ya fisi sijui uzee unaninyemelea....
 
Tanzania mkuu si unaona meza imefunikwa bendera ya ccm

Mwanzoni niliwaza hivyo pia...

Lakini nilipotazama viunoni mwa baadhi ya hao askari sijaona mikanda yao ile yenye nakshi za bendera ya Tanzania...
 
Mwanzoni niliwaza hivyo pia...

Lakini nilipotazama viunoni mwa baadhi ya hao askari sijaona mikanda yao ile yenye nakshi za bendera ya Tanzania...
nadhani kwa vigezo hizo nimechemka
 
Hao ni ccm wanatafuta dawa ya ukawa ika wame chemka!
 
Mwanzoni niliwaza hivyo pia...

Lakini nilipotazama viunoni mwa baadhi ya hao askari sijaona mikanda yao ile yenye nakshi za bendera ya Tanzania...
ila kama kulia kabisa mezani kuna mtu kama pinda
 
Back
Top Bottom