omary kimbau????? Acheni ujinga nyie, yule kamchakaza daddangu, litoto copy right. Alikataa mimba, tumelea wenyewe leo anajidai anakuja kutulamba miguu
Omy kimbau jamani mbona kawachakaza madem wengi
Samahani, sikujua kama Kingunge ana mtoto wa kumzaa mwenyewe zaidi ya Kinje, huyo uliemtaja si waku adopt au wa mkewe? Nijuavyo Kinje ni pekee kwa mama wa kihindi.
Nirekebishe kama naelewa ndivyo sivyo.
Sasa kama ulikuwa hujui au huna uhakika unaropokea nini? au ndo kujishaua uonekane unamjua sana? mwone kwanza...OVYOOO!
FF naona una njaa sana......Kinje mwizi tu.
Labda ungesema babake, tungesikilizana, hiki kirafiki cha wanangu? unanchekesha!
mkuu kumbe tulikuwaga wote mahali kule!ha ha haaaaaa yaani wewe ulishindwa kuvumilia sio????lol
ule udaku wa the utamu wa kipipi umekukaa mpaka umeuropoka...lol
nimecheka mpaka basi.....lol
Labda ungesema babake, tungesikilizana, hiki kirafiki cha wanangu? unanchekesha!
Shika adabu yako na adabu ikushike. Soma vizuri post yangu. Kingunge hana mtoto zaidi ya Kinje, hao wengine wa kulea tu.
ha ha haaaaaa yaani wewe ulishindwa kuvumilia sio????lol
ule udaku wa the utamu wa kipipi umekukaa mpaka umeuropoka...lol
nimecheka mpaka basi.....lol
Na wewe kaibe kama rahisi. Huo ni usongo wenu tu, kila mwenye nacho kisha kuwa mwizi? nipishe huko. Ndio maana hamuendelei kwa ujinga wenu.
Labda ungesema babake, tungesikilizana, hiki kirafiki cha wanangu? unanchekesha!
Samahani, sikujua kama Kingunge ana mtoto wa kumzaa mwenyewe zaidi ya Kinje, huyo uliemtaja si waku adopt au wa mkewe? Nijuavyo Kinje ni pekee kwa mama wa kihindi.
Nirekebishe kama naelewa ndivyo sivyo.
Wakuu wenye jamvi, hali zenu.
Awali aliwekwa Michuzi na mkewe hapa, akatandikwa madongo ya mambo yake binafsi na mada ikafungwa, ikafutwa.
Huyu mbona mmeacha aanikwe, mnayo policy yeyote ya ku deal na topic kama hizi au mnaenda mzaga mzaga tu?