First years wa mwaka huu tuwaitaje?

Jamaa hata kingera hajuiiiii...... afu hataki kukubali hakuna FIRST YEARS uwiiii mwache abaki na ujinga wake alio nao KUBWA JINGA HILO

Kingera ndo lugha ya nchi gani?
 
Mmeamua tuu kumshupalia jamaa, yupo kwenye jukwaa husika kabisa…
 
Kuna kawaida kila mwaka first years kuwa na jina. Mimi mwaka 2005 niliitwa 'Tsunami'. Napendekeza waitwe 'Rasimu' au 'Bunge la Katiba' au UKAWA

Wadau mnasemaje?

kwa huu ujinga wenu ndo maana hadi mkiingia kitaa kuomba ajira mnakosa kwa sababu ya dharau, wanachukuliwa wenye experience, nyie mnachukuliwa kama first year katika ajila. Avatar mok saiv mwaka wa kwanza kanaanza kujichagulia jina
 
Last edited by a moderator:

na huyo mwanachuo katoa wazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…