First Year UDSM wapewa chao leo.

First Year UDSM wapewa chao leo.

Duh, at least hawa bodi wamenipa matumaini mtoto wa mkulima, nilkuwa nawaza nitaishi vp pale UDOM iwapo wakichelewesha boom.

angalia mtoto wa mkulima hela yenyewe kama ina majini haikai mfukoni kabisa ulipe ada kabla hujafanya chochote
 
angalia mtoto wa mkulima hela yenyewe kama ina majini haikai mfukoni kabisa ulipe ada kabla hujafanya chochote

mkuu asante kwa kunikmbusha, bt naamini starehe zina wenyewe, bahati nzuri huyu mtoto wa mkulima anajitambua vyema mkuu.
 
Mlimani city sub-hoofer ya nguvu, nyingine Fiesta...Period!
kwa kawaida wasomi hufikiri zaidi ya hapo, lakini kwa kuwa ni kundi la watalii watafanya hivyo!
kwa wale watoto wa mkulima jibane ikibaki twende vijijini kwetu tukanunue walau bati tukijiandaa kurudi huko maana siku hizi mjini kama huna shughuli utakimbia mwenyewe, hivyo tujiandalie makazi vijijini maana ndipo zilipo fursa!
ukifanya hivyo ndani ya miaka mitatu utakuwa walau chumba kimoja cha tofali kilichoezekwa kwa bati.nawatakia masomo mema
 
Ikiwa ni siku chache tu tangu waanze usajili, wanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM leo wamepewa boom,huku wengi wakifurahia utaratibu mzuri wa UDSM kwa kupewa boom haraka.

Tunawaasa matumizi mazuri ya fedha hizo!
wakumbuke pia siku moja wataanza kufanya marejesho maana tuendako kukwepa hakupo maana moja ya kazi ya vitambulisho vya taifa itakuwa ni hiyo kukutambua uko wapi na unafanya nini na Bodi watakuwa na uhalali wa kupata hizo taarifa na kuzitumia kwa ajili ya kuandaa mpango wa marejesho.
hivyo booom litumike kwa hekima!
 
Unazijua bei za mlimani city wewe?Hela ya bodi haitoshi kununua mziki pale mlimani city labda mtu aamue kulala na njaa na bado itabidi aongezee nyingine.

ndio tatizo la kusimuliwa hilo, kwa hiyo subufa inayouzwa laki na nusu kariakoo mliman city laki 4?, hebu kanye ulale!
 
kwa kawaida wasomi hufikiri zaidi ya hapo, lakini kwa kuwa ni kundi la watalii watafanya hivyo!
kwa wale watoto wa mkulima jibane ikibaki twende vijijini kwetu tukanunue walau bati tukijiandaa kurudi huko maana siku hizi mjini kama huna shughuli utakimbia mwenyewe, hivyo tujiandalie makazi vijijini maana ndipo zilipo fursa!
ukifanya hivyo ndani ya miaka mitatu utakuwa walau chumba kimoja cha tofali kilichoezekwa kwa bati.nawatakia masomo mema

Mkuu umenena mi nina ka ng'ombe nimenunua kipera huko,
 
Duh, at least hawa bodi wamenipa matumaini mtoto wa mkulima, nilkuwa nawaza nitaishi vp pale UDOM iwapo wakichelewesha boom.

kuna tofauti kubwa kati ya udsm na udom.pale udom,mpaka kwanza wakina mlacha wakazichakachue ndio mpewe,na muda huo itakua ishafika december kuelekea january!
 
ndio tatizo la kusimuliwa hilo, kwa hiyo subufa inayouzwa laki na nusu kariakoo mliman city laki 4?, hebu kanye ulale!

Mkuu wewe ndio umeingia mjini hivi karibuni?subufa ndio nini?

Anaeingi mjini kutoka bush utamjua tu.
 
Mkuu wewe ndio umeingia mjini hivi karibuni?subufa ndio nini?

Anaeingi mjini kutoka bush utamjua tu.

nimeshtuka napigizana kelele na first year ambae alikosa nafasi Udsm, kilaza wanaitaga jina lingine.
 
kuna tofauti kubwa kati ya udsm na udom.pale udom,mpaka kwanza wakina mlacha wakazichakachue ndio mpewe,na muda huo itakua ishafika december kuelekea january!

Ha ha ha Mkuu Pitz utaniua mbavu zangu, acha mi nikatafute dogo anibebe bibo
 
kwa kawaida wasomi hufikiri zaidi ya hapo, lakini kwa kuwa ni kundi la watalii watafanya hivyo!
kwa wale watoto wa mkulima jibane ikibaki twende vijijini kwetu tukanunue walau bati tukijiandaa kurudi huko maana siku hizi mjini kama huna shughuli utakimbia mwenyewe, hivyo tujiandalie makazi vijijini maana ndipo zilipo fursa!
ukifanya hivyo ndani ya miaka mitatu utakuwa walau chumba kimoja cha tofali kilichoezekwa kwa bati.nawatakia masomo mema

Kweli Mkuu!ushauri mzuri sana!
 
xo leo fiesta itawakoma jamani,kuweni makini lkn msijerudi kuomba ushauri huku jamvini
 
Ikiwa ni siku chache tu tangu waanze usajili, wanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM leo wamepewa boom,huku wengi wakifurahia utaratibu mzuri wa UDSM kwa kupewa boom haraka.

Tunawaasa matumizi mazuri ya fedha hizo!

Mbona inasemekana et wamepewa kwa aslmia yan wengne laki 4, wengn 6, wengin 7????
 
two months meals and accomodation Tsh.463,000/=
books and stationery 200,000.
Total unapewa 663,000/=cash mkononi.

Mbona walikuwa wanasema meal and accomodation ni 510,000 kwa miez miwili kwaiyo ina maana hiyo 463,000 per day ni sh ngap???
 
Wengine maboom yanasoma wengine hatuna uhakika wa kula leo...... Jana nimehuzunika sana nilipoona wenzangu wanasaini maboom mlopata hongereni, sisi jembe linatuita baada ya kutemwa
 
Ikiwa ni siku chache tu tangu waanze usajili, wanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM leo wamepewa boom,huku wengi wakifurahia utaratibu mzuri wa UDSM kwa kupewa boom haraka.

Tunawaasa matumizi mazuri ya fedha hizo!
Sasa leo nenda kawahoji Utendaji wa Serikalii wanauonaje . .

Utasikie , ni kweli Serikali inajitahidi kubana Matumizi , na Ni hatua nzuri pia kuhakisha Board inawapa mkopo wale tu wanaostahili. Washawasahau wenzao. Iheahimiwe Serikali.
 
Back
Top Bottom