First year bwana ni shida mjini

Mitanzania ndivyo ilivyo. Badala ya kuelewa anachoongea mtu yenyewe kazi yao ni kutafuta makosa. Kwa taarifa ni kuwa huyo anayeongea muda wote japo anabreak in no time ataongea English nzuri kukuzidi hata wewe mwenye English ya interview. Tuwasapoti vijana wetu badala ya kuwashusha ari ya kujifunza kwa kuwatoa kasoro ndogondogo.
 

Maneno meeengi, waache wenzio wajifunze, hii lugha ni ngeni unaweza kujitapa unaijuwa saaana ukawacheka wenzio kumbe na wewe hauijuwi vilevile! Tusijifanye kujua saana na kuwadharau wanaojifunza, tujifunze lugha mbalimbali bila uoga.
 
Ha ha ha ha ha
Jamani mbona matatizo kichwa na habari haviendani.
Halafu ulipaswa kumsaidia sio kumuacha na kuja kuandika umbea wako huku
 
" It has never happen before".

Kilichonifanya nikagundua ni umakini wangu kwa kuwa wamevuta attention yangu kwa ujasiri wa kuzungumza hadharani bila shuruti lugha hii ambayo ni tishio kwa watanzania wengi pamoja na rais wetu....????

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ umeongeza siku zangu za kuishi!
 
Wa kulekule wa kujidai kujua kila kitu
 
Hapo kwenye aya ya kwanza mstari Wa pili toka mwisho neno 'Inawasatahili' maana yake ni nini!? Yawezekana unawakosoa wenzio kwa kujifunza kiingereza wakati wewe hata Kiswahili haujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…