Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,706
- 4,759
Nipo Afya nduguSubiri yakukute au yamkute mtu wa karibu Yako ndo utaelewa mkuu
Nipo Afya nduguSubiri yakukute au yamkute mtu wa karibu Yako ndo utaelewa mkuu
Hii ni shida ya mtandao na IT wao ucjal itakaa sawa tembelea mara kwa mara au piga simuHivi hii ni kwangu tu ?
Oroha ya TCU nipo ila hawa jamaa hawajatuma SMS wala e mail na akaunti haifungukiView attachment 2334603
Sawa,Hii ni shida ya mtandao na IT wao ucjal itakaa sawa tembelea mara kwa mara au piga simu
Me ndo nakisikia kwako leo MkuuSawa,
Hicho chuo unakifahamu ?
Second round si bado mkuu ?Mwenye kusaidia Udom namuombea dogo nimelipia tangu ijumaa lakini tangu siku hiyo hadi leo wanasema not paid
Note: Sikuomba First round ndo nimeomba 2nd round kwa mara ya kwanza msaada pls
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Namaanisha ndo niomba second round baada ya kukosa vyuo vingine ndo nikaomba Udom ijumaa hadi Leo inaonekana eti not paid wkt nililipa risiti na sms kuwa malipo yamepokelewa Udom ipo Ila kila nikilogin inaonyesha sijalipaSecond round si bado mkuu ?
Nijuavyo mimi drisha i halijafunguliwaNamaanisha ndo niomba second round baada ya kukosa vyuo vingine ndo nikaomba Udom ijumaa hadi Leo inaonekana eti not paid wkt nililipa risiti na sms kuwa malipo yamepokelewa Udom ipo Ila kila nikilogin inaonyesha sijalipa
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
2nd round ishaanza toka majuzi.Nijuavyo mimi drisha i halijafunguliwa
Waliochaguliwa 1st round bado wanaconfirm vyuo mwisho Sept 6,
Baadaya hapo ndio second round itaaza
Second round ishaanza ndugu nishaomba baadhi ya vyuo kadhaa ksb dogo alikosa round ya kwanza ndo nilitaka kumuombea na Udom Ila ndo hivyo still not paid yaani sijui itakuwaje na siku zinakimbia hatariNijuavyo mimi drisha i halijafunguliwa
Waliochaguliwa 1st round bado wanaconfirm vyuo mwisho Sept 6,
Baadaya hapo ndio second round itaaza
Sawa mkuu, nimekuelewaSecond round ishaanza ndugu nishaomba baadhi ya vyuo kadhaa ksb dogo alikosa round ya kwanza ndo nilitaka kumuombea na Udom Ila ndo hivyo still not paid yaani sijui itakuwaje na siku zinakimbia hatari
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Kwenye website zao vyuo vingi wanasema namba za kuwasiliana nao na mimi nimewahi kuwasiliana na watu wa DIT na SUASecond round ishaanza ndugu nishaomba baadhi ya vyuo kadhaa ksb dogo alikosa round ya kwanza ndo nilitaka kumuombea na Udom Ila ndo hivyo still not paid yaani sijui itakuwaje na siku zinakimbia hatari
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Ingia kwenye akaunti uliyoombeaHivi walio omba kujiunga na vyuo upande wa certificate hivi wao selection zao bado au, kwa maana nilimwombea dogo chuo flani Cha afya majibu yametoka kwa waliochaguliwa lakini naona ni upande wa diploma pekee, wa certificate hakuna, Kuna mwenye kujua Hilo anijuze
2nd round ilifunguliwa tareh 24 August kwa Vyuo vyote under TCU , So walopata 1st round wanaconfirm wakat huohuo wengine wanamba 2nd round mpaka hiyo tareh 6 unayosemea. Confirmation deadline ikifika pia 2nd rounf inafungwa wanaanza mchakato wa kutoa selection za 2nd.Nijuavyo mimi drisha i halijafunguliwa
Waliochaguliwa 1st round bado wanaconfirm vyuo mwisho Sept 6,
Baadaya hapo ndio second round itaaza
Kwa kada ya afya mara nying Certificate inaunganishwa na Diploma so wewe deal na hizo za diploma unazoziona ndo hizohizo certificate unazozitafutaHivi walio omba kujiunga na vyuo upande wa certificate hivi wao selection zao bado au, kwa maana nilimwombea dogo chuo flani Cha afya majibu yametoka kwa waliochaguliwa lakini naona ni upande wa diploma pekee, wa certificate hakuna, Kuna mwenye kujua Hilo anijuze