sijuikitu
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 286
- 12
Hii ndio post yangu ya kwanza kama JF Senior Expert Member.......nimejaribu kufikiria kitu cha kupost ila nimekosa...na naogopa kutema pumba.
Cha kusema labda niwashukuru wana JF wote, wana CCM, wana CDM, mafisadi, wazalendo, walioenda Loliondo na wenye imani finyu...
Wote kwa pamoja mmenifanya niweze kuiweka JF kama moja ya TODO zangu kila siku.
Asanteni wote kwa ujumla wenu....nitaendelea kuwakilisha!
Cha kusema labda niwashukuru wana JF wote, wana CCM, wana CDM, mafisadi, wazalendo, walioenda Loliondo na wenye imani finyu...
Wote kwa pamoja mmenifanya niweze kuiweka JF kama moja ya TODO zangu kila siku.
Asanteni wote kwa ujumla wenu....nitaendelea kuwakilisha!