First lady yupi atakaye sahaulika haraka?

First lady yupi atakaye sahaulika haraka?

sirjohn

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
767
Reaction score
679
Mpaka sasa toka uhuru Tanzania ina first lady wa4, akiwepo mama nyerere, mama mwinyi, mama mkapa na mama kikwete! Na sasa muda siyo mrefu atapatikana wa 5...

kwa mahesabu ya haraka haraka aweza kuwa mama lowasa, slaa au mama pinda! Sijaju ni kwa nini mama nyerer pamoja na umri wake imekuwa ngumu kumsahau kama ilivyo kwa mafirst lady wengine... mama kikwete inaonekana atasaulika mapema hata kabla ya octobaer kufika. hivi mama mwinyi yuko wapi, je kuna kumbukumbu yoyote ya alichokifanya akiwa Ikulu?

Je mvuto wa 1st lady hutengenezwa na rais mwenyewe au shughuri zake anazofanya IKULU kama mke wa rais!
 
  • Thanks
Reactions: Gor
Mpaka sasa toka uhuru Tanzania ina first lady wa4, akiwepo mama nyerere, mama mwinyi, mama mkapa na mama kikwete! Na sasa muda siyo mrefu atapatikana wa 5...

kwa mahesabu ya haraka haraka aweza kuwa mama lowasa, slaa au mama pinda! Sijaju ni kwa nini mama nyerer pamoja na umri wake imekuwa ngumu kumsahau kama ilivyo kwa mafirst lady wengine... mama kikwete inaonekana atasaulika mapema hata kabla ya octobaer kufika. hivi mama mwinyi yuko wapi, je kuna kumbukumbu yoyote ya alichokifanya akiwa Ikulu?

Je mvuto wa 1st lady hutengenezwa na rais mwenyewe au shughuri zake anazofanya IKULU kama mke wa rais!
Uzii huu umekuja kwa wakati wake na nina usongo nao...sana.Hawa wake za maraisi kwanza sijui kama wanajua kuwa moja wapo ya kazi zao ni kuunganisha nchi....nimewahi kumsikia mmoja akiwaambia akina mama wa kislaam kuwa "sisi ........tumeachwa nyuma.",hakika nilitamani kumpiga makofi!.Shida nyingine ipo kwenye taasisi wanazoandikisha wakiwa ikulu,hakika hizi taasisi ni sehemu ya ukwepaji wa kodi maana mwisho wa mchezo inabaki yake.Sasa watz ndugu zangu kuwepo na taasisi moja tu ya wake za marais ambaye acting first lady ataiongoza,akitoka ibaki iongozwe na anayekuwa first lady.But mtindo huu wa sasa ni biashara......tumeona.
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Labda ungeuliza ni First Lady (kwa waliokwisha kupata hiyo hadhi) yupi atakayekumbukwa kwa muda mrefu? Hapo ungepata jibu kwa sababu hao wengine hawatofautiani, hawana tofauti na umande wa alfajiri; watapotea na wala hawatakumbukwa tena.
 
First Lady TANZANIA ni Mama Nyerere tu.

Wengine wote hawa ni ma lady is first.
 
wasakatonge mwana..mama Nyerere pekee ndiye mwenye hadhi mpaka leo.
 
Back
Top Bottom