She did a good job during the last year's CCM campaigns, just like Michelle Obama helped Obama in 2008.
It's not her job to execute day to day government affairs. You may wish to direct your complaints to the cabinet ministers. Thanks
aisee nilivyoona kichwa cha habari nkadhani mie,kumbe ni huyo mrithi jina asiyejua maana na umuhimu wake.ananiharibia hadhi ya jina langu,staki kumuongelea
Wooow!
Kwahiyo una maana ile ndege ya TGFL aliyokuwa anatembelea wakati a kampeni zilitumika hela za bajeti yetu, na si za ccm?
Mbona walionyesha risiti hadharani?, au unataka kusema zilikuwa feki!...acheni kumsakama mama yetu bana!:coffee: