Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Wagombea wa Viti vya Uraisi mpaka hata wakati mwingine Ubunge hujitokeza hadharani na wake zao, mbona mgombea CHADEMA, Tundu Lissu Mke wake hatumjui na wala hajawahi kutoka naye kwenye matukio muhimu tukamjua, future first lady'?
Membe na Mke wake
Membe na Mke wake

