Nyie si mnabeba kwa mbeleko ya Malinzi?Na ndoo ya VPL muibebe sasa, sio mbwembwe zote hizo za usajili halafu mnaishia nafasi ya pili au ya 3
Mmechukua watu_kutu wote mmewarundika pamoja,mnachokitafuta mtakipata
Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.
Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.
Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua tishio kubwa kwenue michezo ya ligi kuu na shirikisho.
Sub ya simba itakua kinatoka kitu kinaingia kitu kuna: Agyei, Mohamed ibrahim,Banda,Kotei,Ngoma, Ndemla na Bokungu.
Sifa ya simba na heshima ya vilabu vya bongo naona inarudi mana mda mrefu tumekua washiriki.
Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.
Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.
Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua tishio kubwa kwenue michezo ya ligi kuu na shirikisho.
Sub ya simba itakua kinatoka kitu kinaingia kitu kuna: Agyei, Mohamed ibrahim,Banda,Kotei,Ngoma, Ndemla na Bokungu.
Sifa ya simba na heshima ya vilabu vya bongo naona inarudi mana mda mrefu tumekua washiriki.
Kwahyo kabla ya Malinzi kuwa Rais TFF Yanga haikuwahi kuwa bingwa?Nyie si mnabeba kwa mbeleko ya Malinzi?
Toka 2010 mpaka 2017..Yanga kabeba ndoo mara tano..msimsingizie Malinzi jikazeni...Simba kwa nini mnaishi kwa matumaini kama mgonjwa wa ukimwi?Kila mwaka mnasajili kikosi kipya alafu mnategemea kupata ubingwa....Nyie si mnabeba kwa mbeleko ya Malinzi?
Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.
Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.
Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua tishio kubwa kwenue michezo ya ligi kuu na shirikisho.
Sub ya simba itakua kinatoka kitu kinaingia kitu kuna: Agyei, Mohamed ibrahim,Banda,Kotei,Ngoma, Ndemla na Bokungu.
Sifa ya simba na heshima ya vilabu vya bongo naona inarudi mana mda mrefu tumekua washiriki.
Wangekuwa na akili angalau kidogo, wangetengeneza kikosi cha kuifunga Kagera Sugar UWANJANIHicho kikosi ni kwa ajili ya kuifunga Yanga tuu baada ya hapo mnasubiri tena msimu mwingine mfanye tena usajili wa kumfunga Yanga huku Yanga akichukua ubingwa.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Teh teh teh mimi simo ngoja Sembo akusikie.Wangekuwa na akili angalau kidogo, wangetengeneza kikosi cha kuifunga Kagera Sugar UWANJANI
Wachezaji 25 kila mwaka wanajenga timu.Hivi mpaka sasa hivi simba imesajili wachezaji wangapi?
NORA yaani cha kike kikeKikosi NORA ndiyo nini hiyo
Ngoma Hapana hawezi kucheza stylebya Simba
Hii inaweza kuwa kikosi nora kuwah tokea endapo watawanasa wachezaji kama inavotajwa na mitandao mbalimbali.
Utakumbuka kile kikosi cha akina Kaseja, Pawasa,Costa ,Christopha alex "masawe", Seleman Matola.
Sasa ni wazi kua endapo simba itakua na kikosi ka hicho ni wazi kua msimu ujao itakua tishio kubwa kwenue michezo ya ligi kuu na shirikisho.
Sub ya simba itakua kinatoka kitu kinaingia kitu kuna: Agyei, Mohamed ibrahim,Banda,Kotei,Ngoma, Ndemla na Bokungu.
Sifa ya simba na heshima ya vilabu vya bongo naona inarudi mana mda mrefu tumekua washiriki.