Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Wadau nomba tujuzane!
Pita yangu hivi karibuni huku kaskazini ndo nimejua kumbe baadhi ya majeshi bado yapo. Jana pale A town nilikuta jamaa wenye wenye uniform kama polisi wetu! Wakanipiga mkono nikasimama wakajitambulisha kuwa wao ni askari wa zimamoto. OK wkataka niwaonyeshe sticker ya zimamoto! Du nilichoka kwelikweli, nikawaambia fire extinguisher ninayo wakanijibu sasa ial wao wanataka hiyo sticker! Nikawauliza inasaidia nini hiyo! Wakanijibu ni kielelezo kuwa nimekaguliwa. Niauliza nani ndo huwa anakagua wakasema wao. Nikawaambia wakague wakanambia gharama ni shs 5000 kwa gari yangu. Ilibidi niwe mkali kidogo Nikawwauliza kipi cha maana kati ya sticker na extinguisher! Wakasema extinguisher, basi nikawaambia hiyo sticker siitaki maana haiwezi kuzima moto ila kitakachozima moto ni extinguisher tu basi. Wakaona nawawekea usiku wakaniruhuru kuendelea.
Leo hii saa hii nakutana na askari wa usalama barabarani anainiuliza sticker ya fire! Nikamwambia sina halafu nikafunga vioo nikaishia. Sasa nauliza maana inawezekana ndo sheria, Je ni munimu kuwa na sticker ya fire! Nawasilisha
Pita yangu hivi karibuni huku kaskazini ndo nimejua kumbe baadhi ya majeshi bado yapo. Jana pale A town nilikuta jamaa wenye wenye uniform kama polisi wetu! Wakanipiga mkono nikasimama wakajitambulisha kuwa wao ni askari wa zimamoto. OK wkataka niwaonyeshe sticker ya zimamoto! Du nilichoka kwelikweli, nikawaambia fire extinguisher ninayo wakanijibu sasa ial wao wanataka hiyo sticker! Nikawauliza inasaidia nini hiyo! Wakanijibu ni kielelezo kuwa nimekaguliwa. Niauliza nani ndo huwa anakagua wakasema wao. Nikawaambia wakague wakanambia gharama ni shs 5000 kwa gari yangu. Ilibidi niwe mkali kidogo Nikawwauliza kipi cha maana kati ya sticker na extinguisher! Wakasema extinguisher, basi nikawaambia hiyo sticker siitaki maana haiwezi kuzima moto ila kitakachozima moto ni extinguisher tu basi. Wakaona nawawekea usiku wakaniruhuru kuendelea.
Leo hii saa hii nakutana na askari wa usalama barabarani anainiuliza sticker ya fire! Nikamwambia sina halafu nikafunga vioo nikaishia. Sasa nauliza maana inawezekana ndo sheria, Je ni munimu kuwa na sticker ya fire! Nawasilisha