sopraji bakali
New Member
- Jan 29, 2018
- 3
- 2
Habari zanu ndugu wasomaji katka hii app. Tunayo furaha kubwa sana kuwafikishia ujumbe huu.
Kutokana na wimbi kubwa la watu wanao jivika taji la ufundi ikiwa awna professional na kaz guys, sasa jenga nasi leo kuanzia chini mpaka mwisho ni mafundi wenye uzoefu zaid ya miaka 6.
Tumefanya kazi kwenye kampuni nyingi tu Tanzania kama:.
1.masasi construction (wahindi)
2.group six(wachina)
3.eastem construction (mchina&muhnd)
Na nyingine nyingi.
Licha ya kufanya kazi kwenye kampuni kwa mda mwingi pia tumejenga jumba nyingi nnje ya kampuni.
Tuna fanya ujenzi kuanzia chin mpaka finishing kwa kazi zote wapo vijana wenye uzoefu pia ni vijana wadogo sana bt ni wenye vipaji.
Tunafanya urembo na design nyingi maua ya kwenye tiles na jipsum pia sio hivyo tu bali decoration na vingne ving, na hz ni baadhi ya kazi zetu
Kutokana na wimbi kubwa la watu wanao jivika taji la ufundi ikiwa awna professional na kaz guys, sasa jenga nasi leo kuanzia chini mpaka mwisho ni mafundi wenye uzoefu zaid ya miaka 6.
Tumefanya kazi kwenye kampuni nyingi tu Tanzania kama:.
1.masasi construction (wahindi)
2.group six(wachina)
3.eastem construction (mchina&muhnd)
Na nyingine nyingi.
Licha ya kufanya kazi kwenye kampuni kwa mda mwingi pia tumejenga jumba nyingi nnje ya kampuni.
Tuna fanya ujenzi kuanzia chin mpaka finishing kwa kazi zote wapo vijana wenye uzoefu pia ni vijana wadogo sana bt ni wenye vipaji.
Tunafanya urembo na design nyingi maua ya kwenye tiles na jipsum pia sio hivyo tu bali decoration na vingne ving, na hz ni baadhi ya kazi zetu