Fine ya traffic isipolipwa kwa wakati!

Fine ya traffic isipolipwa kwa wakati!

Che Mkira

Senior Member
Joined
Jul 8, 2014
Posts
117
Reaction score
152
Wanajamvi habari?
Nimewahi kufanya makosa ya barabarani na kuandikiwa kulipa fine ya 30,000 mara tatu kwa nyakati tofauti. Lakini kutokana na sababu mbalimbali sijaweza kulipa mpaka hivi sasa.

Sijui natakiwa kulipa kiasi gani kwani nasikia ipo interest inayoongezeka na sijui namna ya kulipa kwani tayari nilishapoteza risiti za kulipa zenye namba za kumbukumbu.

Naomba Masada wenu kujua namna ya kujua deni langu, namna ya kulipa na kiwango kinachoongezeka usipolipa kwa wakati.
 
No ikifika 60000 zinasiz nadaiwa tangia 2012 mpaka leo inasoma hiyo na silipi
 
Wanajamvi habari?
Nimewahi kufanya makosa ya barabarani na kuandikiwa kulipa fine ya 30,000 mara tatu kwa nyakati tofauti. Lakini kutokana na sababu mbalimbali sijaweza kulipa mpaka hivi sasa.

Sijui natakiwa kulipa kiasi gani kwani nasikia ipo interest inayoongezeka na sijui namna ya kulipa kwani tayari nilishapoteza risiti za kulipa zenye namba za kumbukumbu.

Naomba Masada wenu kujua namna ya kujua deni langu, namna ya kulipa na kiwango kinachoongezeka usipolipa kwa wakati.
Nenda kwa trafiki yoyote mwenye kile kimashine atakuprintia karatasi nyingine kwa ajili ya kufanya malipo.. Kuna kiasi utakuta kimeongezeka kutokana na muda uliopita. Unafree ya siku saba tu kuilipa zaidi ya hapo inaongezeka kitu kama 7000/day kama sijakosea. Ila pia nafikiri ina ukomo wake sijajua kwa undani zaidi
 
Back
Top Bottom