Fine art expert

isayafebu

New Member
Joined
Aug 27, 2019
Posts
2
Reaction score
0
Habari zenu wanajamvi kwa jina naitwa John nimemaliza kidato cha sita mwaka Jana, mchepuo wa PCB baada ya matokeo kutoka niliscore div 3 ya mwanzo kwa bahati mbaya nilikosa chuo,by nimekaa Sana home Sina shughuli ya kufanya lakini Nina talent ya uchoraji hivyo nilikua naomba mdau mwenye experience na fine art awe mentor wangu...namba yangu ya simu: 0653211873
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…