ha ha ha mtu wa SUA sijui MZUMBE anajisifu na hata kidhungu hakijui LOL!
Iddi na mabwepande nyie ni vilaza namba moja kati ya watu wote niliowahi kukutana nao. Mwandishi wala hajaikweza upper second ila ametoa wazo kulingana na kautafiti kake alikofanya kwa watu wengine wa UDSM wenye upper second sasa nyie vilaza mnaleta mashindano ya kipi chuo bora na kipi si bora.
Mie najua wengi huwa wanatamani kusomea UDSM sasa pale wanapoachwa kwenye selection ndo chuki na maneno ya kejeli yanapoanza juu ya UDSM.
Ongeeni logically sio kuropoka hovyo tu UDSM ndo chuo cha Tanzania yenye branch zake mikoani kama mzumbe,sua, Udom n.k
Iddi na mabwepande nyie ni vilaza namba moja kati ya watu wote niliowahi kukutana nao. Mwandishi wala hajaikweza upper second ila ametoa wazo kulingana na kautafiti kake alikofanya kwa watu wengine wa UDSM wenye upper second sasa nyie vilaza mnaleta mashindano ya kipi chuo bora na kipi si bora.
Mie najua wengi huwa wanatamani kusomea UDSM sasa pale wanapoachwa kwenye selection ndo chuki na maneno ya kejeli yanapoanza juu ya UDSM.
Ongeeni logically sio kuropoka hovyo tu UDSM ndo chuo cha Tanzania yenye branch zake mikoani kama mzumbe,sua, Udom n.k