Financial partner anatakiwa

Financial partner anatakiwa

Tatizo la watanzania wengi tupo very smart wakati wa kuomba mikopo, maneno mengi na kauli nzuri sana ila tukishapata tunatokomea kabisa, simu hazipokelewi, meseji hazijibiwi na hatuonekaniki tena, na hili ndio tatizo linalofanya watu kuwa wagumu sana katika kukopesha na ni tatizo kubwa katika ufanisi wa wajasiriamali. Kuna watu wachache sana wapo smart katika kurudisha hela ila sidhani kama wanafika watano kati ya mia. Kila kheri mkuu, kama ulivyo smart katika kuomba mkopo uwe smart hivyo hivyo katika kurudisha.
 
Unahitaji financial partner au mkopo? Ulivyoelezea huo ni mkopo sio partner. Partner inabidi mkae mjadiliane mambo memgi kuhusu hiyo biashara pamoja humpangii wewe. Nenda benki kakope mbona rahisi sana kama biashara unayo!
Nina biashara ya maduka mawili ya rejareja Mapipa karibu na Morogoro rd, nimedumu kwenye biashara kwa zaidi ya miaka 5 sasa ila mwaka huu biashara imeyumba kimtaji. Nahitaji financial partner anisupport sh. Mil 3 na laki 5 nifanye biashara. Kila mwezi nitakuwa nampatia faida ya sh. laki 3. Atakayekuwa tayari ani PM. Niko serious wakuu, baada ya miezi 10 biashara itakuwa inajiendesha yenyewe hivyo mtaji nitaurudisha kwa mhusika.
 
Back
Top Bottom