Financial market expert tukutane hapa

Financial market expert tukutane hapa

Thank you for your fixed mind pisi Kali..naona umeanza taarabu..kifup wewe huna akili ni mvivu,unaongozwa na emotion, unasikiliza watu bila personal research,kichwa chako kimejaa mifupa akili kidogo ndo maana unakurupuka kureply bila kusoma maudhui ya threads,ni mihemuko tu ndo imekutuma kujib wewe hukuwa na la kujibu apa, ulitakiwa ukae pembeni kisa tu ulisikia Fulani kapoteza hela forex tayali umeshaconclude na wew,bila ata kufanya research kwa wanaopiga pesa wanafanyaje! Control ur emotions bro.
NB, kama unafikiri waandishi wa vitabu wanajifurahisha tu awaandiki vitu halali ni mawazo yako acha watu wachimbe waujue ukweli

Robert Kiyosaki aliwah kusema ukitaka kumficha mwafrica kitu weka kwenye vitabu
We kama ni mvivu wa kusoma acha wenzako wasome we zunguka tu na vyeti vyako maofisin ukitafuta kazi ipo siku utaombwa ili upate ajira na utatoa

Nakushauri, kama unataka kuwa financially free jichimbie ndani kuanzia miezi 6 na kuendelea soma vitabu,Fanya practice utapata knowledge that will feed you and your family all the rest of your life..
Acha kejeli kwa vitu usivyovijua tafta ukwel kwanza ata sis tulikuwa kama ww wabishi kama ww na wengine humu jf, but now najuta kwa nn sikuanza mapema labda ningekuwa kwenye level za kina Sandile, Ref whyne, DJ coach, okello odingo na wengine waliofanikiwa..
Ona sasa ulivyokuwa mshamba na mjinga unaleta quotes za watu uliambiwa wapi forex ina kitabu kimoja chenye maarifa yote forex kila mtu anaweza kutunga kitabu chake kama umeanza juzi tulia. na hao wanaondika vitabu wengi hawtrade wanauza vitabu tu

Unakariri majina ya watu huyo sandile shenzi alishawai kuja bongo akatapeli watu ni mkenya kama sijakosea ulikuwa hujui kipind icho nn maana ya forex na hao unawataja isjui dj coach huyo fbk (foex broker killer) anapiga darasa kubwa ndo anapiga mpunga


Acha kuleta quotes za wazungu hujitambui hata ukikuta kweny kitabu kumeandikwa binadamu ni nyani utakubali kuwa na akili acha ujinga


Niambie kati ya hao ulitaja hawapatii pesa nyingi sokoni zaidi ya kufundisha na kuuza vitabu kuwa smart
 
Ahaahaahaaha!!wee jamaa jinga kabsaaaaaa...sipotez tena mda wangu kureply text zako..hujui kitu lkn unajifanya kujua, alafu unaandika ujinga kabsa,
Hii jamaa akaongea point usifunge akili please. Trading wengi Sana wanafundisha na kuuza vitabu kisa ishu ni ngumu Sana Tena Sana Ila ugumu upo kichwani mwako tu..
Hizo quotes za kiyosaki hauoni Kama ni catalyst za kukufanya usome ama ununue kazi zao
 
Ahaahaahaaha!!wee jamaa jinga kabsaaaaaa...sipotez tena mda wangu kureply text zako..hujui kitu lkn unajifanya kujua, alafu unaandika ujinga kabsa,
Huna point tuliza kibox manyayo kaa chini waalike ukoo wako na familia kweny izo mambo ili wafaidike
 
Ref wine (south Africa) ana wanafunz elf 10 kwel anapiga hela lkn wanamfuat
Ana group lake la signals, pia Ana tredi sijui demo mama hajawahi onyesha Kama ni real account,achana kuona nembo ya real ambayo brokers wanaitoa kwa demo account , hajawahi kuonyesha withdraw.
Hapo kwa vitabu nakupinga bro.iko ivi hii game ni ngumu Sana wengi wanakimbilia kutunga vitabu, kufundisha, mentoring,n.k.

Vitabu vya trading unajaza semi trailer hata tano Ila real books vya real traders unavishikilia mikononi.
Unajua kuwa Gann hakuwa trader Bali aliishi kwa kuuza vijizuu.
Mtu Kama anatengeneza pesa kwa trading why should be bothered with giving signals for few tens bucks.
Those who know don't talk but those who don't know talk more.
Many talk the talk but few walk the walk of their talking.
Few walk the walk when a real money is online.
Richard Dennis unajua kuwa hakuandikaga kitabu Ila anaheshimika Sana katika trading arena.

Wish you good trading
 
Mkuu kuandika kitabu sio kaz ndogo, kitabu sio gazeti, wanachukua hadi miaka 10-20 kukamilisha vitabu..alaf waandishi wa vitabu ni wakongwe kwenye game wana mafanikio makubwa kwenye hii biashara wanashare idea zao kwa wanaotaka kuanza biashara, yaan kifup wanaonyesha njia ya kupita ili ufanikiwe, sasa huyu mwenzetu ni mlopokaji tu, Mara sandile alikuja Tanzania akaiba hela za watu Mara et ni mkenya, Mara DJ coach ameandika kitabu na ana darasa kubwa, kifup analopoka tu ajui chochote
Ni sawa watu wanafundisha lkn bro hakuna mtu atakaekufuata umfundishe kama hujapata mafanikio,
Hao vijana wanapata wanafunzi kwa sababu wanaonekana kufaham biashara kutokana na mafanikio yao

Ref wine (south Africa) ana wanafunz elf 10 kwel anapiga hela lkn wanamfuata kwa sababu wameona kwamba kwel jamaa anaweza game..
Hujajua forex wewe na ukubwa wako bado mshamba watu wanaanza na showoff hapo south kuonekana wamefanikiwa sana kuvuta watu mara kupiga picha huyo dj coach kuna kipind account yake ilikuwa inasoma $30,000 kaonyesh live je na anatrade kwe mwezi si chini ya mara mbili na anamake at least 30% of the total capital

Na kweny training akausanya pesa nyingi mno analamba mpaka $1000 kwa kichwa na anawanafunzi si chini ya mia mpaka buku ukienda global tumia akili ya kuzaliwa je hapo sokoni na kufundisha wapi analamba

Na huyu dj coach ni wa 1995 forex mpaka anaandika kitabu alikuwa na miaka kama 3 sokoni tu acha uongo tena miwili zile showoff ndo zilimfanya aonyeshe kuwa kafanikiwa ila alipowateka wwengi ndo akapiga pesa ndefu mno mpaka sasa. nyumba zaidi ya 7 gari za maana

Kuna mtu kama steve mauro anatrade demo na anawanafunzi kibao anapesa kinoma kaaa kijanja umri umeenda huwezi showofd zaidi za huku jf
.huyo ontario alikuwa na story hapa jf kwamba alifanikiwa kumbe ndo kwanza alikuwa ni mwanafunzi akalamba pesa ndo maana yupo pale

Wanacheza na akili za watu kaa kijanja
 
Mkuu ebu mwambie hajui wanacheza na saikolojia ya wanaotaka mafanikio hawapo real ila wanafanikiwa kupitia kufundisha na kuuza vitabu na signal

Hajui huyo mwambie madogo wameanza 2016mpaka 2018 wana pesa waliaanza kupiga picha kweny nyumba za watu mpaka wakanunua za kwao kwa ujanja wa kujifanya wamefanikiwa sio kutrade ni baada ya kupata wanafunzi wengi
 
Huwezi kujiita ni expert wa financial market wakati hujui ni jinsi gani big central banks zilizopewa jukumu la kutoa liquidity sokoni zinavyofanya kazi katika kutoa hiyo liquidity hasa katika nyanja za market manipulations na jinsi ya kutrade sambamba na liquidity hiyo inayotolewa.

Kitabu cha candlestick bible ni njia ya kupeleka watu chaka.Hakizungumzii chochote kuhusu liquidity providers.Huwezi kujiita ni expert kwa kusoma kitabu kama candlestic bible ambacho wajibu wake ni kupeleka watu chaka.

Nashauri kama mtu anataka kuwa expert wa financila market ajifunze watu kama akina Larry Williums,Jesse Livermore,Willium Delbrt na kadhalika walifanyaje hadi wakapata mafanikio makubwa katika financial market.
 
Sijui we we unaongelea vitabu vipi, alafu vitabu vya financial market haviuzwi stationary, wala havitembezwi mitahan..Viko Amazon Au E-book..mtunzi analipwa kulingana na idad ya watu waliodownload kitabu,
So hapo vilipo ni bure like in Amazon mkuu
 
Wale wale kasoro tarehe..kama unachosema ni ukweli kitabu cha DJ coach kinaitwaje?? Kama sio unaropoka tu, hakuna mwafrica hata mmoja aliwahi kuandika kitabu kuhusu financial market..Africa tajir wa kwanza kwa biashara ya forex ni ref wine (south Africa ) lkn hata blog tu yenyewe hana..
Kuhusu kuuza signal ni sawa..hii biashara ukishaijua unatengeneza pesa mingi sana si kwa trade tu, unaweza kufundisha(kuuza maarifa) hii unaweza kufanyia online au off line, unaweza uza signal, vyote hivi ni matunda ya kujitesa na vitabu bila kuchoka
Unaumwa sio bure sema nina ishu za kufanya sifuatilii huo upuuzi kwa sasa kaangalie kitabu kinaitwa forex broker killer cha dj coach

Kuna cha undercovermillionair cha andrew machalii

Hapa bongo kipo cha hao 255millionair kinaitwa atomic

Forex haina kitabu kama physics formula ni moja kila mtu anaweza kuandika kutokana na strategies haziko 100% accurate mara utasikia BTMM,ICT,PURE PRICE ACTION, mara TTT
 
Wewe tulia bana..we ni lijinga kwani unafuata mafanikio yao Au unawasikiliza wanasemaje kuhusu biashara..wote hao ata ukiwasikiliza wana sad story wanakwambia waz jinsi walivyoteseka kuitafta hiyo skill..jins walivyounguza accounts na wote wanakir kuwa walianza biashara bila kuwa na maarifa ndipo walipoamua kukaa na kusoma had wakatoboa..wanasema chase after knowledge then money will chase after you..
Maarifa yapi mkubwa na zaidi ni kufundisha hao watu waliokuwa wanfuata jeff wametamana nae baada kujua siri kwamba hategemei soko ile ni darasa na wao wameanzisha darasa zao

Hyo ndo nakupa siri ambayo mentor wako hatokuja kukwambia ni kwamba anategemea kufundisha na kuuza signal ndo akaenjoy kweny mahotel makubwa
 
Forex bhana[emoji23][emoji23]mi nshachokaga kusoma, market structure na sentiment zinatosha sana. Ukiovercomplicate utaishia kua na mawenge kwny kila move ya soko. Anyway skuizi naona ni bora kuwekeza pesa yangu in less risky instruments kama soko la hisa (OTC Stocks) na baadhi ya cryptos. Haya mambo ya pesa za bumkubaa hazina guarentee na zina kapepo flani ka greed[emoji23][emoji23]kanashawishi ile mbaya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pschology, unatumia app gani kununua coin?
 
Ana group lake la signals, pia Ana tredi sijui demo mama hajawahi onyesha Kama ni real account,achana kuona nembo ya real ambayo brokers wanaitoa kwa demo account , hajawahi kuonyesha withdraw.
Hapo kwa vitabu nakupinga bro.iko ivi hii game ni ngumu Sana wengi wanakimbilia kutunga vitabu, kufundisha, mentoring,n.k.

Vitabu vya trading unajaza semi trailer hata tano Ila real books vya real traders unavishikilia mikononi.
Unajua kuwa Gann hakuwa trader Bali aliishi kwa kuuza vijizuu.
Mtu Kama anatengeneza pesa kwa trading why should be bothered with giving signals for few tens bucks.
Those who know don't talk but those who don't know talk more.
Many talk the talk but few walk the walk of their talking.
Few walk the walk when a real money is online.
Richard Dennis unajua kuwa hakuandikaga kitabu Ila anaheshimika Sana katika trading arena.

Wish you good trading
Mkuu kama unaweza naomba unisaidie majina ya vitabu vizuri vya pschology unavyo vifahamu
 
Mkuu kama unaweza naomba unisaidie majina ya vitabu vizuri vya pschology unavyo vifahamu
Komaa mpaka uweze kuchambua pumba na mchele mkuu. Yaani saivi Nina uwezo wa kujua hichi kitabu ni Cha motivation speaker,ama Ali tredi yakamshinda akaamua kuandika kitabu Cha kuvutia majority,.mara secrets za trading,real holy Grail, Mara 99.99% winning strategy za trading.
 
Huwezi kujiita ni expert wa financial market wakati hujui ni jinsi gani big central banks zilizopewa jukumu la kutoa liquidity sokoni zinavyofanya kazi katika kutoa hiyo liquidity hasa katika nyanja za market manipulations na jinsi ya kutrade sambamba na liquidity hiyo inayotolewa.

Kitabu cha candlestick bible ni njia ya kupeleka watu chaka.Hakizungumzii chochote kuhusu liquidity providers.Huwezi kujiita ni expert kwa kusoma kitabu kama candlestic bible ambacho wajibu wake ni kupeleka watu chaka.

Nashauri kama mtu anataka kuwa expert wa financila market ajifunze watu kama akina Larry Williums,Jesse Livermore,Willium Delbrt na kadhalika walifanyaje hadi wakapata mafanikio makubwa katika financial market.
Mkuu umeongea kitu kikubwa sana ..naomba kama una vitabu vzr vya liquidity provider naomba.
 
Mkuu umeongea kitu kikubwa sana ..naomba kama una vitabu vzr vya liquidity provider naomba.
Tafuta mentorship za huyu jamaa wa Marekani(Mr.Michael) zimejaa kwenye magroup ya telegram na ni bure kabisa.Anafundisha kila kitu kuhusu smart money trading kuanzia liquidity pools,liquidity engineering,stop runs,institutional order flows,draw on liquidity,COT reports,open interests,bias,institutional sponsorships,PD arrays,kill zones,liquidity delivery,SMT divergences,mega trades na kadhalika.Hakuna alichoacha.

Kizuri zaidi ni kwamba anafundisha jinsi ya kutrade katika masoko yote yaliyopo katika financial market kuanzia commodities,indices,stocks,currency na bonds.
20211024_114700_temp.jpg
 
Tafuta mentorship za huyu jamaa wa Marekani(Mr.Michael) zimejaa kwenye magroup ya telegram na ni bure kabisa.Anafundisha kila kitu kuhusu smart money trading kuanzia liquidity pools,stop runs,institutional order flows,draw on liquidity,COT reports,open interests,bias,institutional sponsorships,PD arrays,kill zones,liquidity delivery,SMT divergences na kadhalika.

Kizuri zaidi ni kwamba anafundisha jinsi ya kutrade katika masoko yote yaliyopo katika financial market kuanzia commodities,indices,stocks,currency na bonds.View attachment 1985188
Unaweza kunipa link ya group lake la telegram?
 
Back
Top Bottom