Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Wasalaam, Jamii Forums.
Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.
Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.
BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.
Troll JF
Money Laundering Whistleblower
Nchi yetu inapitia katika kipindi ambacho inataka kuongozwa na Mataifa ya Magharibi kwa kila namna ili wanyonye Rasilimali zetu.
Fedha kutoka Taifa moja ya Ulaya zinatarajiwa kuingizwa nchini kwa Style ambayo vyombo vya ulinzi na Usalama lazima ziwe makini kwani zitakuja kwa mfumo wa Kununua bidhaa Tanzania na Watalipa kuliko Thamani halisi ya ya hiyo Bidhaa Jumla ya €32Million zimetengwa katika Uchaguzi huu na endapo chama Hicho kikishindwa basi mwaka 2025 watatoa kiasi cha €60Million kama msaada wa Kampeni ambazo zitawawezesha kuingia Ikulu.
BOT kupitia Kitengo chake cha FIU wawe makini Kwani vyanzo vyangu vinaniambia Fedha hii inaweza kuingia sasa hadi Mwanzoni mwanzoni September 2020. Fuatilieni transaction za kibiashara kati ya Tanzania na Taifa moja la Ulaya Magharibi.
Troll JF
Money Laundering Whistleblower