Kwa hili Mh. Sita anastahili pongezi! Hongera sana Mkuu. Umetetea maslahi ya taifa.
Angekuwa Yule Mwapachu angetumaliza, Huyu Sitta ingawa haileweki lakini wakati mwengine anakuwa na msimamo
hakuna swala la ardhi na ulinzi kutokuwepo
Wangekuwa wanakomaa hivi kwenye mikataba ya madini tungekuwa mbali sana.
Unatakiwa uwe na ufahamu wa kilichokuwa kinaendelea kabla ya kuanza kuhukumu. Nina hakika yeyote anayefuatilia hatua kwa hatua mchakato wa EAF anakushangaa unachosema maana inaonesha huelewi hata nafasi na majukumu ya mawaziri wa africa mashariki. Walau kwa kifupi ujue tu kuwa riport ile haiandaliwi na wanasiasa bali na watendaji wenye utaalam, kazi ya waziri ni kuipitia na kuamua kama asign au la.Mkuu mimi sikubaliani nawewe kwasababu inaonekana Waziri Sitta na maafisa wetu walikua busy na mambo mengine binafsi badala ya kufanya kazi wanayopaswa kutufanyia. Matokea dakika za mwisho wanakurupuka eti wanagoma kusaini. Uzembe tunaoshuhudia katika Idara na Taasisi za Serikali sasa umekomaa tunavuka mipaka ya nchi.
Hatimae Tanzania imetia saini mkataba wa East Africa community ambao waziri Samwel Sitta alikataa kusaini mpaka vipengele viwili vya ardhi na usalama kupitiwa upya..wamekubaliana hakuna swala la ardhi na ulinzi kutokuwepo!
Source: Daily National
Sipati picha kama angelikuwa Ngeleja apo!!!!
Sijawahi kuona hii logic yako. comparison sahihi ilikua -F = T.false+false=True
Good work by someone.
But I'm curios to figure out where the EAC is heading, say in 20yrs!