toto zuli
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 265
- 278
Ilikuwa kwenye mida ya saa 2 usiku alinipigia simu akaniambia nina maongezi na wewe ukiwa free kwenye saa nne ni beep Nina maongezi na wewe
Muda ulipowadia nilimbeep akanipigia tuliongea takribani dakika 20 kuhusu maisha na mahusiano ila finally alikuja kunitamkia hahitaji kuwa na mm katika mahusiano kwa sababu ameona
1. Mimi ni mtu nisieleweka
2. Pili alinipa muda mambo yangu niyaweke sawa Akaona sieleweki
3. Alishanipa muda nibadilike akaona sielweki niko vile vile
4. Amejitahidi kunipenda toka moyoni lakini moyo wake umekufa ganzi
Mwisho akaniambia tuachane Lakini pia akanisisitia ndugu zangu niwambiea Kama tumeachana nisipo sema watanitanga
Muda ulipowadia nilimbeep akanipigia tuliongea takribani dakika 20 kuhusu maisha na mahusiano ila finally alikuja kunitamkia hahitaji kuwa na mm katika mahusiano kwa sababu ameona
1. Mimi ni mtu nisieleweka
2. Pili alinipa muda mambo yangu niyaweke sawa Akaona sieleweki
3. Alishanipa muda nibadilike akaona sielweki niko vile vile
4. Amejitahidi kunipenda toka moyoni lakini moyo wake umekufa ganzi
Mwisho akaniambia tuachane Lakini pia akanisisitia ndugu zangu niwambiea Kama tumeachana nisipo sema watanitanga