Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,640
- 8,338
Mwanae /Binamu alinambia baadae kuwa ulikuwa ni mkakati wa yeye kuniachanisha na Bi Fulani ATI hatuendani .. gademiit... Those months Mimi na shangazi Tulikuwa beneti hadi kwenda kula pamoja kwenye virestaurant , naandaliwa kahawa .... Tunapiga pyepyepye na kupanga mikakati....Msamehe jamani mambo hayakwenda vizuri,.
Sio miyeyusho๐
Auntie ana hela alf amekaa kishuaLeejay49 Kwani auntie na shangazi haya majina yanatofauti gani?
Bado hajapatikana
๐ ๐ halafu mbaya zaidi unakuta kajichubua ,madoa doa kama kenge maji , huo mdomo wa umbea sasaSasa ukisema shangazi ndio kama hivyo mara awe amepauka, makenya miguuni ash๐
Hata wewe hukustuka jamani?๐๐Mwanae /Binamu alinambia baadae kuwa ulikuwa ni mkakati wa yeye kuniachanisha na Bi Fulani ATI hatuendani .. gademiit... Those months Mimi na shangazi Tulikuwa beneti hadi kwenda kula pamoja kwenye virestaurant , naandaliwa kahawa .... Tunapiga pyepyepye na kupanga mikakati....
Jambo ambalo mwanae na bimkubwa walikuwa wanashangaa .. haujawahi Tokea akawa friendly na mtu kiasi kile
Anakaa huko sijui goba siku akirudi anakusanya viroba kama mwehuNa humwambii kitu anajiona bado binti,. Na kujikuta WA mjini๐
Sisi wenyewe upande WA mama shangazi zetu wote wako peace sanaa,. Kwanza ukienda kuwatembelea au wakija kututembelea unaenjoy maisha ,. Hawana Mambo mengiUpande wetu mashangazi wote isipokuwa mmoja huwa wanatuhumiwa kwa uchawi waliorithi kutoka kwa bibi, upande wa mke wangu mashangazi zake wote ni watu wema,na mmoja wa shangazi wake(apumzike kwa amani) ndiye aliyesaidia mimi na yeye tukaoana. Mashangazi wana ngu8u fulani ktk ukoo.
Gademiit..๐ ๐ halafu mbaya zaidi unakuta kajichubua ,madoa doa kama kenge maji , huo mdomo wa umbea sasa
HahahaGademiit..
I was desperate at that time , nilihitaji Pesa .. ogopa nobody ever lived with her for two months .. alafu apikiwe chakula kizuri...Hata wewe hukustuka jamani?๐๐
Ushawahi kuona wapi urafiki na shangazi
Mashangazi miyeyusho , huwa wananifahamu vizuri๐๐๐๐
Ila shangazi yako amejua kunichekesha๐๐I was desperate at that time , nilihitaji Pesa .. ogopa nobody ever lived with her for two months .. alafu apikiwe chakula kizuri...
Watu wakienda unakuta kajipikilisha viazi vitamu kutwa nzima , Au ndizi na bamia, nyanya chungu , ATI Ako na pressure anataka pia Aishi miaka mingi . Alinipa hadi bible ... .. alinijaza Kwa kweli ..