Finally, I'm that auntie from dad's side!

Bado hajapatikana😂😂

Ndio hapo ntaanza kuwa mfano,. " Si mnamuona shangazi yenu ambavyo hajaolewa na nyie endeleeni.....,. Mtazeekea nyumbani kama shangazi yenu." 😂😂
Basi wadau wameshaona ujumbe.
Fungua PM tu waje.
Mimi nishazeeka ningekimbilia nafasi faster.
Ukichelewa unajikuta kama vijana walioomba vyuo wanalia wamekosa nafasi kisa walichelewa ku-confirm.
 

Tafuta hela sasa upunguze makali ya kutoka kuitwa shangazi Leejay49 uwe aunt Leejay49

Hongera by the way, i can't wait kuitwa aunt siku ndugu zangu wakiwa na watoto
 
Sawa shangazi miyeyusho.

Shangazi Alinijaza moto, nikaandaa mpango Kazi .. ATI Biashara gani ina lipa hapo mujini..

Vifaa vya kielektroniki . ..

Ahadi kibao .. Nikatafuta frame .. suppliers mwisho wa siku shangazi kaingia mitini ... ATI oh waliniibia kule saiti ...

Mashangazi siyo pooa
 
Sawa shangazi miyeyusho.

Shangazi Alinijaza moto, nikaandaa mpango Kazi .. ATI Biashara gani ina lipa hapo mujini..

Vifaa vya kielektroniki . ..

Shangazi akasema alafu Yule mwanamke uachane nae kwanza , Wala usimuwaze .. si nikaingia kingi nikampiga mtoto WA watu tukio

Ahadi kibao .. Nikatafuta frame .. suppliers mwisho wa siku shangazi kaingia mitini ... ATI oh waliniibia kule saiti ...

Ahsante Kwa kuniyeyusha shangazi miyeyusho..
 
Tafuta hela sasa upunguze makali ya kutoka kuitwa shangazi Leejay49 uwe aunt Leejay49

Hongera by the way, i can't wait kuitwa aunt siku ndugu zangu wakiwa na watoto
Kwakweli nipambane niitwe Aunt Leejay,.

Asante,. Kwanza ni raha nyumba ikiwa na katoto kachanga kama hivi hutamani kutoka aisee mda wote unataka umshike, umbebe
 
Msamehe jamani mambo hayakwenda vizuri,.
Sio miyeyusho😂
 
Katika vitu vya kuwa makini , kama kaka yako ana mke wake ishi nae kwa umakini mkubwa sana , mashangazi wanaanza kuwa miyeyusho kwa kuleta bifu na umbea na wake za kaka zao
Kutaka kujipa umuhimu kwenye maisha ya kaka zao,. Ndio maana tunawaonaga hawana maana.. Yaani wanataka wapewe treatments sawa na anazopewa wifi yao.. ( Tatizo ndio linaanziaga hapa )
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…