Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,299
- 60,928
Wakuu habari za nyie...
KWa hakika siku hazigandi, na hawakukosea walivyosema "What goes around comes around"!
Vile tunavyowaonaga ndugu upande wa Baba miyeyusho hasa mashangazi, tunavyowaonaga hawana maana, na sifa zote mbaya na matatizo tunayatupiaga kwa ndugu upande wa baba.
Hatimaye little brother katuletea kanew born na sisi (nikiwemo na mimi) tushakuwa mashangazi upande wa baba! Nasubiri tu nizeeke nianze kuitwa mchawi wakiumwa waseme shangazi ndio anawaroga!
Sema fresh Nakubali
KWa hakika siku hazigandi, na hawakukosea walivyosema "What goes around comes around"!
Vile tunavyowaonaga ndugu upande wa Baba miyeyusho hasa mashangazi, tunavyowaonaga hawana maana, na sifa zote mbaya na matatizo tunayatupiaga kwa ndugu upande wa baba.
Hatimaye little brother katuletea kanew born na sisi (nikiwemo na mimi) tushakuwa mashangazi upande wa baba! Nasubiri tu nizeeke nianze kuitwa mchawi wakiumwa waseme shangazi ndio anawaroga!
Sema fresh Nakubali