Final Nigeria vs Egypt

Final Nigeria vs Egypt

All d best

Mpira ukichezwa kwa haki

Hizi ndizo timu za final

Hope tumeyao itakuwa uwanjan kushuhudia maana fujo zitakuwepo za kutosheleza
Mjomba kama kuna mtu anakushawishi uingie kwenye mchezo wa kubashiri (kubeti), aisee mkimbie haraka sana. Maana atakuingiza kwenye umasikini mkubwa.
 
Mjomba kama kuna mtu anakushawishi uingie kwenye mchezo wa kubashiri (kubeti), aisee mkimbie haraka sana. Maana atakuingiza kwenye umasikini mkubwa.
Mshahara tutalipwa na nanimmku
 
Je waarabu wanawapenda weusi? Unakumbuka walichokakiongea morroco walipofanya vizuri kwenye kombe la dunia?
Waliongea nini?? Hebu weka clip tumsikie!

Shida yenu muda wote mnahisi kuonewa na kubaguliwa, huu ni ugonjwa mbaya sana.
 
Labda wewe utajifanya kuwapenda kwa sababu unaamini kwamba wao ndio wamekufanya ukamjua Mungu.

Tatizo lako katika hilo ni kuwa mwafrika, usingekuwa mwafrika ungejitambua na kuhifadhi utamaduni wako.
Mimi sina ubaguzi kwa yeyote, ila kuna watu weusi wanajionyesha kabisa kutowapenda waarabu, na hawana sababu za msingi why wanawachukia, maneno ya kipumbafu tu yasio na kichwa wala miguu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom