msomi fake
Member
- Dec 26, 2013
- 17
- 1
Uchaguzi kama usingekuwa wa haki tusingekuwa na wawakilishi toka vyama tofauti ndani ya jamii yetu, kasoro fulani fulani si kiegezo kwamba uchaguzi sio huru wakati sheria za uchaguzi zinaonyesha uhuru katika uchaguzi.
Asilimia kubwa ya majimbo waliposhinda wapinzani ni kutoka name ushupavu wao Wa kulinda kula Zao.. bado uchaguzi sio kigezo cha kuprove kuwa candidate flani hakubariki ktk jamii flani