kistwangara
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 656
- 94
mkuu hawawezi yule anabaraka za wazee wake na wazee wote wa kijiji kile. unadhani toka ameaza kuwachanachana wasingekuwa wamemfanyia kitu kibaya? by then ameamua kusema bila kuogopa kinachowezamkuta.