Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
Miradi ya mashamba ya Chai Luponde - Ludewa, Mkoa mpya wa Njombe
Picha kwa hisani ya Mjegwa Blog
Huyu angeitwa Filikuludewa badala ya Filikunjombe. Bongo ni nzuri tatizo ni ufisi na ufisadi. Pia ukondoo wa watu wetu nao unaifanya iwe jehanamu.
Nimeamua kufanya special study ya huko Ludewa, kwani utajiri wa maliasili uliopo huko unanishangaza kuacha wananchi maskini huku mawe ya chuma wakiyatumia kuwa mafiga ya kuinjia vyungu majikoni. Jamani Mungu akupe nini kama si utajiri wa mali asili?
Huyu angeitwa Filikuludewa badala ya Filikunjombe. Bongo ni nzuri tatizo ni ufisi na ufisadi. Pia ukondoo wa watu wetu nao unaifanya iwe jehanamu.