Filamu za Nigeria zilizotamba miaka hiyo

1. She Devil (Dakore Egbuson)
2. Rip Off (Ramsey na Genevive Nnaji
3. Power of Love (Ramseh na Genevieve)
 
Hivi hizi movie zipo mtandaoni kweli nakumbuka enzi hizo tulikuwa tunazicheki kwenye zile kanda za tofali tu ilikuwa hamna kudownload wala kustream
 
images(6).jpg
images(5).jpg
images(1).jpg
images(2).jpg
images(3).jpg
images(4).jpg
 
Mwishoni mwa miaka ya 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000, kabla ya bongo muvi, filamu za ki Nigeria ndizo zilikuwa zinapeta, nakumbuka baadhi ya filamu maarufu miaka hiyo kulikuwa na "suicide mission" (kichupa), "The price" (pastor ken), conspiracy, Witches, Lady bianca, Blood sisters, Christ in me. Anayezikumbuka nyingine, hebu tukumbushane nataka nizitafute.
NB: WATOTO WA JUZI MLIOZALIWA MIAKA YA 2000+ MSICHANGIE KWENYE HUU UZI HAUWAHUSU.

Things fall apart.

The world apart.

True Confession.

Scores to settle.

Blood of an orphan.

Highway to the grave.

Rubi.

The power of love.

True love
 
Nakumbuka tulvyokua seminari kla jumapli walkua wanatuwekea filamu za kinigeria, watu wanakuja nazo tukfungua shule.
Sasa sku moja skumbuk jna la flam, watu wako bed wana kwchkwch ktu kka nasa hahaah wamaseminari tuliweweseka balaa.
Ndo ikawa mwsho wakuziangalia hzo flam.
 
aiseee
Nakumbuka tulvyokua seminari kla jumapli walkua wanatuwekea filamu za kinigeria, watu wanakuja nazo tukfungua shule.
Sasa sku moja skumbuk jna la flam, watu wako bed wana kwchkwch ktu kka nasa hahaah wamaseminari tuliweweseka balaa.
Ndo ikawa mwsho wakuziangalia hzo flam.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom