Filamu ya Mwl. Nyerere

2kimo

JF-Expert Member
Jan 23, 2014
2,029
2,071
Natazama film ya Mwl Nyerere aliyoact Steve Nyerere naona kama bado hatujaitendea haki nafasi yake ktk jamii!

Ilitakiwa tupate film inayoonesha maisha ya Julius akiwa Butiama, leo wakati mama Maria yupo angetupa masimulizi mengi sahihi juu ya maisha ya Julius akiwa mtoto wa chief wanzagi, alivyoenda shule na maisha yake hapo Magomeni, kule Pugu na harakati za awali za Uhuru!

Karibu heroes wote watu wamewatengenezea filamu, huyu wa Kwetu tunamsifu na hii filamu yake haina mvuto wa kutosha kuleta hisia za maisha ya Mwl. Hizi ni hotuba ambazo nyingi clips zake tunazo!

Waziri nape tangaza fursa hii ambayo itaambatanishwa na mambo yetu ya Sanaa na makumbusho!
 
Natazama film ya Mwl Nyerere aliyoact Steve Nyerere naona kama bado hatujaitendea haki nafasi yake ktk jamii!
Ilitakiwa tupate film inayoonesha maisha ya Julius akiwa Butiama, leo wakati mama Maria yupo angetupa masimulizi mengi sahihi juu ya maisha ya Julius akiwa mtoto wa chief wanzagi, alivyoenda shule na maisha yake hapo Magomeni, kule Pugu na harakati za awali za Uhuru!
Karibu heroes wote watu wamewatengenezea filamu, huyu wa Kwetu tunamsifu na hii filamu yake haina mvuto wa kutosha kuleta hisia za maisha ya Mwl. Hizi ni hotuba ambazo nyingi clips zake tunazo!
Waziri nape tangaza fursa hii ambayo itaambatanishwa na mambo yetu ya Sanaa na makumbusho!


Nadhani fursa hii taasisi ya Mwalimu Nyerere ichukue nafasi mara mmoja.
 
Natazama film ya Mwl Nyerere aliyoact Steve Nyerere naona kama bado hatujaitendea haki nafasi yake ktk jamii!
Ilitakiwa tupate film inayoonesha maisha ya Julius akiwa Butiama, leo wakati mama Maria yupo angetupa masimulizi mengi sahihi juu ya maisha ya Julius akiwa mtoto wa chief wanzagi, alivyoenda shule na maisha yake hapo Magomeni, kule Pugu na harakati za awali za Uhuru!
Karibu heroes wote watu wamewatengenezea filamu, huyu wa Kwetu tunamsifu na hii filamu yake haina mvuto wa kutosha kuleta hisia za maisha ya Mwl. Hizi ni hotuba ambazo nyingi clips zake tunazo!
Waziri nape tangaza fursa hii ambayo itaambatanishwa na mambo yetu ya Sanaa na makumbusho!
Kabisa kabisa! Tunaiihitaji historia hii. Jamani UDSM kitengo cha Theatre Arts kwa nini isifanye hii project? bagamoyo Chuo Cha Sanaa, Ml. Nyerere akiwa muasisi kwa nini wasiact jamani?
 
Kabisa kabisa! Tunaiihitaji historia hii. Jamani UDSM kitengo cha Theatre Arts kwa nini isifanye hii project? bagamoyo Chuo Cha Sanaa, Ml. Nyerere akiwa muasisi kwa nini wasiact jamani?

Nimependa sana hapo kwenye TaSuBa, wale ni manguli wa uigizaji sijui ile timu ya miaka ya 2000 bado ipo?
 
hata udom kuna watu wanaigizaga sijui hawaoni hili


Mawaziri wenye hii dhamana wapo lakini hawaoni kabisa essence ya hii kitu, wanakimbizana na vazi la taifa miaka nenda rudi hatulioni,
 
Waziri nape tangaza fursa hii ambayo itaambatanishwa na mambo yetu ya Sanaa na makumbusho


Kiundwe kikundi kazi cha kui-shape sura ya huyo mwigizaji kwa gharama yoyote ifanane na Mwl. ili kitu kinoge hasa
 
Back
Top Bottom