Walipigika kwelikweliNi ya kweli Mkuu.
Mitaa ile wenyewe wameizoea wanapiga Risasi nyingi kwa timing kisha wanajificha kwenye mawe duh....ila JESHI ni kazi ya Wanaume wacha kabisaWalipigika kwelikweli
Pia kukatika mawasiliano na Makao Makuu nako kulichangia pakubwa maana walikosa support ya angani.Lt. Michael Murphy na wenzake...Marcus Luttrell bado yupo anaishi kwa hiyo event. Kwangu vijana wadogo kama wale kufa bila sababu inahuzunisha sana
Hahahaaah ile kama huna roho ngumu kule huendi.Mitaa ile wenyewe wameizoea wanapiga Risasi nyingi kwa timing kisha wanajificha kwenye mawe duh....ila JESHI ni kazi ya Wanaume wacha kabisa
Yaap....binafsi nilihuzunika sana jamaa anaiona ndege lkn hana mawasiliano nao wanapita juu yake daah...Pia kukatika mawasiliano na Makao Makuu nako kulichangia pakubwa maana walikosa support ya angani.
Acha kabisa ni hatari sana kuingia kwenye Game bila kujua Uwanja ukoje maana jamaa pamoja nakuwa na Silaha zakisasa Taliban I wako na AK47 lkn waliwatulizaJamaa wanaruka kwenye mawe kama ngedere.
Nandio maana huwa hawapendi mambo ya kwenye Uwanja wa mapambano watu waone maana ukimkumbuka Mkeo na watt wako then unakutana na Jinamizi la Mawe halafu watu unaopambana nao wao wanachotamani KUFA kuliko kuishi aaaah....acha kabisaHahahaaah ile kama huna roho ngumu kule huendi.
Yule mmoja aliyepona, hakuamini kama kweli anaokolewa alipokuwa bwawani anakunywa maji.Acha kabisa ni hatari sana kuingia kwenye Game bila kujua Uwanja ukoje maana jamaa pamoja nakuwa na Silaha zakisasa Taliban I wako na AK47 lkn waliwatuliza
Naweza kukipataje mkuuKuna kitabu chake with more details than the movie....