Umegusia point muhimu ya kiasi kiingiacho na kitokacho....Ki fupi umetaka kuliweka kisomi zaid yaani complicated.... Ila ingebid utumie kanuni ya wanauchumi other things remain constantItategemea na kiasi cha maji yanayoingia na kutoka. Kama maji yanayoingia ni mengi kuliko yanayotoka basi itaanza kujaa namba Moja. Lakini kama maji yanayoingia ni sawa na yanayotoka basi litaanza kujaa namba nne!
Yote hayo itagemea endapo hizo container zimefungwa. Kama hazijafungwa basi namba nne ikijaa maji yataanza kumwagika na mengine yote hayatajaa.
Itategemea na kiasi cha maji yanayoingia na kutoka. Kama maji yanayoingia ni mengi kuliko yanayotoka basi itaanza kujaa namba Moja. Lakini kama maji yanayoingia ni sawa na yanayotoka basi litaanza kujaa namba nne!
Yote hayo itagemea endapo hizo container zimefungwa. Kama hazijafungwa basi namba nne ikijaa maji yataanza kumwagika na mengine yote hayatajaa.