Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Sasa jambo hili la Mzee Lowassa na MALIPO KUTOKA 'SOMALIA' ni chagizo kubwa sana akilini ili Great Thinkers, kwa utulivu wa akili sana tu, kwa pamoja tuvuke utaratibu huu wa kufikiri tu ndani ya boksi moja tu na sasa tuanze kutafakari ki-undani zaidi kwamba URAFIKI WA HALI YA JUU kati ya Lowassa na Rostam Aziz, ni kitu gani hasa hicho kinachowaleta pamoja na kwa maslahi gani hiyo???