Fikra hadidu ya Masoud Kipanya

Ni Kwa sababu tu watanzania hua hatuna tamaduni za kuvipa thamani vya kwetu ila huyu jamaa ana matumizi makubwa sana ya akili

Hapo kwanzia hiyo rangi ya maji Ina ujumbe wake na pia kukatika hilo daraja kuna ujumbe wake pia
 
Hebu nifunzeni jinsi ya kuwa na VPN nowadays Kuna wakt mtandao inakuwa arijono sijui wanazima ama nn
 
Ithibati ni one thing halafu Mungu alichoweka ndani ya KP hakuna cha ithibati Wala ithikigae itakayokiondoa
KP namkubali sana aisee. Yaani huwa naona anamfuatilia kwa karibu sana Robert Mwampembwa aliyehamia Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…