Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,408
- 6,555
kuna jamaa alikuwa anaumwa na figo akaenda hospitali. Alipofika akakutana na dokta akamueleza ugonjwa wake!
Sasa Dokta akaamua kumbadilisha figo.
Sababu alikosa figo ya binadamu, dokta akaamua kumwekea figo ya Mnyama mgonjwa wake, alijaribu figo ya Mbuzi ikaonekana ni ndogo sana ikashindwa kufanya kazi, Dokta ikabidi abadilishe amuwekee figo ya Ng'ombe ila ikashindwa kufanya kazi sababu ilikuwa kubwa mno, ndipo mwishoni dokta akaamua kumuwekea Mgonjwa wake figo ya Mbwa. Figo hiyo inafanya kazi fresh ila tatizo ni kuwa jamaa(mgonjwa) akitaka kukojoa ni lazma anyanyue mguu mmoja juu kama mbwa anavyokojoa!
Sasa Dokta akaamua kumbadilisha figo.
Sababu alikosa figo ya binadamu, dokta akaamua kumwekea figo ya Mnyama mgonjwa wake, alijaribu figo ya Mbuzi ikaonekana ni ndogo sana ikashindwa kufanya kazi, Dokta ikabidi abadilishe amuwekee figo ya Ng'ombe ila ikashindwa kufanya kazi sababu ilikuwa kubwa mno, ndipo mwishoni dokta akaamua kumuwekea Mgonjwa wake figo ya Mbwa. Figo hiyo inafanya kazi fresh ila tatizo ni kuwa jamaa(mgonjwa) akitaka kukojoa ni lazma anyanyue mguu mmoja juu kama mbwa anavyokojoa!