Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Watendaji wengi wa CCM huwa wanaapa kabisa kuwa CCM lazima ishinde.
Na kwa kulijua hilo basi CCM huwajaza upepo kuwa lazima CCM ishinde maana wapinzani watarudisha maendeleo yao nyuma.
Ebu tazameni ofisi za baadhi ya viongozi hao hata baada ya miaka 60+ ya uhuru.
Watanzania wenzetu jamani fungukeni wacheni kulishwa sumu za kuchukia upinzani.
Na kwa kulijua hilo basi CCM huwajaza upepo kuwa lazima CCM ishinde maana wapinzani watarudisha maendeleo yao nyuma.
Ebu tazameni ofisi za baadhi ya viongozi hao hata baada ya miaka 60+ ya uhuru.
Watanzania wenzetu jamani fungukeni wacheni kulishwa sumu za kuchukia upinzani.